FINDTRUEFAITH
Member
- Mar 24, 2011
- 83
- 86
Gentah tu miss wengiMzee baba umerudi mjengoni. Ulikotoka kwema mdogo wangu ?
Assume mpaka cku ya hukumu kunakuwa na watu bilioni kumi wanaotakiwa kuhukumiwa, vile vile assume kila mtu atasikilizwa kwa dakika 3. Itachukua dakika bilioni 30 kuhukumu watu wote! Hii ni sawa na masaa milioni 500, zaidi ya siku milioni 20 sawa na miaka 56,000! Na hii ni kama atapiga non stop! Akipumzika tu miaka inasogeaWenye Imani zenu na mnaojua vizuri Maandiko Matakatifu tunaomba msaada wenu tafadhali katika hili ili Sisi wenye dhambi 'tukuka ' tuanze kupiga ' jaramba / kujiandaa ' kuwahi Siti zetu tayari kabisa kwa Kufanywa Kuni kutokana na dhambi zetu / makosa yetu hapa Ulimwenguni.
Nawasilisha.
Miaka nenda rudi tumekuwa tukiambiwa kwamba ikifika siku hiyo ya hukumu kila mtu atawekewa "mkanda" (yaani kama mkanda wa video) kuonyeshwa dhambi zake zote alizotenda katika maisha yake ili yeye na wengine wote waweze kuona kwamba katika kumhukumu haki imetendeka. Sasa "mkanda" (sijui DVD) hiyo itachukua wiki ngapi hadi kumalizika huku watu wakisubiri mikanda au movie/DVD za watu wengine tena wenye "mikanda" mirefu zaidi na zenye kila aina ya "action" kali kali kudhihirisha maovu yote waliyotenda duniani.Assume mpaka cku ya hukumu kunakuwa na watu bilioni kumi wanaotakiwa kuhukumiwa, vile vile assume kila mtu atasikilizwa kwa dakika 3. Itachukua dakika bilioni 30 kuhukumu watu wote! Hii ni sawa na masaa milioni 500, zaidi ya siku milioni 20 sawa na miaka 56,000! Na hii ni kama atapiga non stop! Akipumzika tu miaka inasogea
hao watu bilioni 7 waliopo sasa hivi..wakipanga foleni hii tz tu haijaiHujahesabu waliokufa maana nao watafufuliwa. Kama Mungu aliweza kuumba dunia hatashindwa kuiongeza.
Tutakuwa kwenye spiritual bodies kwahiyo tunaweza kuenea kwenye chumba kimoja.
Ninahamu kweli kukutana na King Solomon, Qeeen Shiba, Cleopatra nijue kama haya tuliyosoma juu yao ni ya kweli.
dakika na saa ni zako..zinafuata mzunguko wa jua,kiama jua hakuna..Assume mpaka cku ya hukumu kunakuwa na watu bilioni kumi wanaotakiwa kuhukumiwa, vile vile assume kila mtu atasikilizwa kwa dakika 3. Itachukua dakika bilioni 30 kuhukumu watu wote! Hii ni sawa na masaa milioni 500, zaidi ya siku milioni 20 sawa na miaka 56,000! Na hii ni kama atapiga non stop! Akipumzika tu miaka inasogea
hao watu bilioni 7 waliopo sasa hivi..wakipanga foleni hii tz tu haijaiHujahesabu waliokufa maana nao watafufuliwa. Kama Mungu aliweza kuumba dunia hatashindwa kuiongeza.
Tutakuwa kwenye spiritual bodies kwahiyo tunaweza kuenea kwenye chumba kimoja.
Ninahamu kweli kukutana na King Solomon, Qeeen Shiba, Cleopatra nijue kama haya tuliyosoma juu yao ni ya kweli.
hao watu bilioni 7 waliopo sasa hivi..wakipanga foleni hii tz tu haijaiHujahesabu waliokufa maana nao watafufuliwa. Kama Mungu aliweza kuumba dunia hatashindwa kuiongeza.
Tutakuwa kwenye spiritual bodies kwahiyo tunaweza kuenea kwenye chumba kimoja.
Ninahamu kweli kukutana na King Solomon, Qeeen Shiba, Cleopatra nijue kama haya tuliyosoma juu yao ni ya kweli.
Mbona umesimplify sana kujenga hoja mkuu?Wenye Imani zenu na mnaojua vizuri Maandiko Matakatifu tunaomba msaada wenu tafadhali katika hili ili Sisi wenye dhambi 'tukuka ' tuanze kupiga ' jaramba / kujiandaa ' kuwahi Siti zetu tayari kabisa kwa Kufanywa Kuni kutokana na dhambi zetu / makosa yetu hapa Ulimwenguni.
Nawasilisha.
Rekebisha takwimu hafu katika idadi ya watu Bill 7 toa takriban Bill 3 ambao ni waislam na wakristo wanaoamini kuna hukumu siku ya mwisho waliobaki 4 Bilioni wanaamini kupitia dini zao kuwa hakuna hukumu wala kiama wala siku ya mwishoWenye Imani zenu na mnaojua vizuri Maandiko Matakatifu tunaomba msaada wenu tafadhali katika hili ili Sisi wenye dhambi 'tukuka ' tuanze kupiga ' jaramba / kujiandaa ' kuwahi Siti zetu tayari kabisa kwa Kufanywa Kuni kutokana na dhambi zetu / makosa yetu hapa Ulimwenguni.
Nawasilisha.
Gentamycine we rudi kwenye story za Bolingo huko ndo unapatia zaidi, naomba historia ya Defao na Kundi LA LoketoWenye Imani zenu na mnaojua vizuri Maandiko Matakatifu tunaomba msaada wenu tafadhali katika hili ili Sisi wenye dhambi 'tukuka ' tuanze kupiga ' jaramba / kujiandaa ' kuwahi Siti zetu tayari kabisa kwa Kufanywa Kuni kutokana na dhambi zetu / makosa yetu hapa Ulimwenguni.
Nawasilisha.
Biblia inasema baada ya kifo ni hukumuWenye Imani zenu na mnaojua vizuri Maandiko Matakatifu tunaomba msaada wenu tafadhali katika hili ili Sisi wenye dhambi 'tukuka ' tuanze kupiga ' jaramba / kujiandaa ' kuwahi Siti zetu tayari kabisa kwa Kufanywa Kuni kutokana na dhambi zetu / makosa yetu hapa Ulimwenguni.
Nawasilisha.
duuuhh hii avatar hatari
hahahaaSasa hivi tupo zaidi ya bilioni mbili halafu tupo wapi?
Mimi nahisi kutakua na tv maeneo mbalimbali ili uhudumiwe hapo hapo ulipo.
hapo ndipo huwaga nachoka " huwenda hiyo hukumu itakuwa inatolewa kwa awamuNa hao ni hawa tunaoishi karne hii ya 21 achilia mbali walioishi toka Abraham isack n jackob