Dunia ina mambo

Hapa jamaa ata laumiwa hadi kesho,ila story haija kamilika!
Like,huyo baba alikua ana taarifiwa kuhusu misiba?
au
Wanaishi karibu kiasi kwamba msiba ukitokea tu atafahamu?
au
Labda na yeye kesha kufa!

kuna maswali mengi kabla ya kumlaumu mzee wa watu

Mi naona huyo baba alikuwa hapati taarifa za msiba.
Lakini si walisha achana bado kuhudhuria au kuto hudhuria msiba ni hiari ya mtu na si lazima.
 
1.so dad was a kid?
2.nani ame kukumbusha?baba au mtoto?
3.Kweli dunia ina mambo mama mkwe,pole sana kwa mkasa huo

Unajua tena maelezo mengi mpaka nakosea baba alikuja kumchukua mtoto mkubwa.

Alienikumbusha ni huyu mtoto aliebaki nimekutana nae leo akienda zake shule
 
Susy dear umesema kweli ndio maana wazee wa zamani huoi/kuolewa bil akufahamu familia some how ilikuwa inasaidia. Haiwezekani kutelekeza familia kiasi hicho hata kumsiba. So sad. Imeniuma sana.

ukiamua kuchunguza hiyo familia utaikuta inamakasoro kibao!!!

si ajabu wote hakuna aliyeoa kwa ndoa hata mmoja au wote wamezalia nyumbani

aaaaaahhhhhhhhh Bwana Yesu utarudi lini?
 
Hapa jamaa ata laumiwa hadi kesho,ila story haija kamilika!
Like,huyo baba alikua ana taarifiwa kuhusu misiba?
au
Wanaishi karibu kiasi kwamba msiba ukitokea tu atafahamu?
au
Labda na yeye kesha kufa!

kuna maswali mengi kabla ya kumlaumu mzee wa watu

Kwa kuwa mtoa mada ameamua kumwaga laana zake kwa huyu mwanaume, tegemeeni majibu haya:

Ndiyo, huyo baba bado yuko hai
Ndiyo, huyo baba aliambiwa kuhusu hii misiba lakini akakaidi.
 
mmmh am real speechless pole sana kwa msiba huo mzito na mkubwa lkn cc ni binadam tu hatupaswi kuhukum Mungu ndo hakim wa watu wote,my dear we just ad the story from one side hatujaskia upande huo mwingine pia.Maybe hakupewa information,hayupo,kafa etc some things are beta said if nothing is said at all.
 
Kuna baadhi ya marafiki zake walihudhuria hii misiba sidhani kama hakupata taarifa

Maty, na kama huyu mwanaume alishafariki, hao marafiki zake walienda kaburini kumfahamisha afu akagoma kwenda kumzika mwanaye?
 
Mi naona huyo baba alikuwa hapati taarifa za msiba.
Lakini si walisha achana bado kuhudhuria au kuto hudhuria msiba ni hiari ya mtu na si lazima.

Hivi ukiachana na mama na mtoto/watoto pia unaachana nao sio, du we kweli ni mwanaume wa shoka
 
mmmh am real speechless pole sana kwa msiba huo mzito na mkubwa lkn cc ni binadam tu hatupaswi kuhukum Mungu ndo hakim wa watu wote,my dear we just ad the story from one side hatujaskia upande huo mwingine pia.Maybe hakupewa information,hayupo,kafa etc some things are beta said if nothing is said at all.


Maty, na kama huyu mwanaume alishafariki, hao marafiki zake walienda kaburini kumfahamisha afu akagoma kwenda kumzika mwanaye?
Huyu mbaba alikua mzima kipindi misiba inatokea
 
Hivi ukiachana na mama na mtoto/watoto pia unaachana nao sio, du we kweli ni mwanaume wa shoka

Tunaomba namba za simu za huyo baba kama yupo hai tumpigie aseme kwa nini hakuhudhuria?
Yawezekana walikuwa na ugomvi wakaamua kukata mawasiliano na kuapiana hata nikifa usije kunizika.
 
watu wanasema jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza.uwezijua yule mama alimwambia nini yule baba watoto.cku hizi wanawake wanakauli mbaya uwenda alimwambia wale watoto sio wako?je kama ni wewe utafanyaje?lazima utasusia tuu.jamani kina mama kuweni makini na kaulizenu mimi nimeshaona sana haya yanatokea kisa mama kasema mtoto sio wako>>>>

Hili nalo neno nafikiri wanawake tujifunze na kauli tunazotoa kwa wenzetu. Tukirudi nyuma hata kama mama alikuambia watoto si wako na wewe unaona kabisa ni wako, unaweza kususa kwa muda ili kumpa mama displine. Sasa ndio unasusia mpaka msiba? na huyu aliebaki je? so unamhukumu kwa sababu ya mdomo wa mamake jamani tuwege na huruma.
 
mmmh am real speechless pole sana kwa msiba huo mzito na mkubwa lkn cc ni binadam tu hatupaswi kuhukum Mungu ndo hakim wa watu wote,my dear we just ad the story from one side hatujaskia upande huo mwingine pia.Maybe hakupewa information,hayupo,kafa etc some things are beta said if nothing is said at all.
Khaa!! Yaani mtoto wa huyu baba afariki halafu asijue hata ndugu washindwe kumwambia mbona wakati mtoto anaumwa aliambiwa na hakwenda?? Bado haijaniingia akilini
 
Tunaomba namba za simu za huyo baba kama yupo hai tumpigie aseme kwa nini hakuhudhuria?
Yawezekana walikuwa na ugomvi wakaamua kukata mawasiliano na kuapiana hata nikifa usije kunizika.
Na wewe nikikwambia hivyo utagoma na kunizika sio lol

Kwa hiyo Maty tatizo hapa kwa nini baba hajahudhuria misiba si ndivyo?
Hapa tunaweza kujifunza kitu kuhusu hili hakutokea kipindi cha ugonywa wa mtoto mpaka vifo vyote viwili na mtoto alichukuliwa kwake akiwa mgonjwa, kama mama alimjibu vibaya baba mpaka akaamua hivyo ndio wanawake tuwe tunapima maneno kabla ya kuyatoa mdomoni. Na kama baba umeudhiwa na mama sidhani ni busara kususa mpaka kufikia hatua hiyo kwani watoto wana makosa gani?
 
Kwa kuwa mtoa mada ameamua kumwaga laana zake kwa huyu mwanaume, tegemeeni majibu haya:

Ndiyo, huyo baba bado yuko hai
Ndiyo, huyo baba aliambiwa kuhusu hii misiba lakini akakaidi.

Mimi sijamwaga laana kwa huyu baba babu tablet. Kwani hata sijui ni sababu ipi ilimpelekea kususa hiyo misiba na watoto. Kisa cha kuleta huu mkasa unaweza kutusaidia kufikiri kabla ya kufanya maamuzi maana huwezi jua haya ni maisha inaweza kumtokea yoyote yule
 
Ni mababa wachache wenye mapenzi ya dhati (unconditional) kwa watoto na hii ndio inapelekea mama kambo kutesa watoto wakati baba mzazi anakenua tu. Hata mkinishambulia ukweli ni kwamba mothers have unconditional love kwa watoto zao. Babas wao penzi likiisha kwa mama basi na mtoto atachukiwa. Habari ndio hiyo. Ndio maana watu husema mtoto ni wa MAMA. Msimshangae sana mwenzenu hata nyinyi mwaweza kuwa hivyo mapenzi yaiisha kwa wenza wenu.
 
ila humu duniani kuna watu wana roho ngumu aisee, dah mwanae afariki asitie maguu? au labda ame "kick the bucket"
 
Leo asubuhi nimekutana na huyu mtoto akanikumbusha hichi kisa, kinaweza kutusaidia pia kujifunza kitu. Ni cha kweli wapendwa msianze kuchakachua


Kuna jirani yetu alizaa na mwanaume watoto wawili hawakufunga ndoa ila waliishi pamoja kwa muda na kuachana maisha yakaendelea. Kuna kipindi wakaanza kugombania watoto mama anawataka na baba anawataka.

Baada ya muda baba alikua akamchukua mtoto mkubwa alikua na 10yrs, alipofika huko kwao akaanza kuumwa, mama alipopata taarifa ikabidi aende kumuona mwanae, kwa hali aliyomkuta nayo akaomba kuondoka nae, ndugu wa mume na mume mwenyewe wakakataa ila mama akamchukua kwa nguvu.

Baadae ilikuja kugundulika mtoto ana sickle cell, hivi wandugu sicle cell mtu huwa anazaliwa nayo au inaweza kujitokeza hata mtoto akiwa na miaka kumi? hiki kinanichanganya kidogo.

Mtoto yule aliumwa kwa muda wa miezi nane akaisha kuliko maelezo, na kipindi chote mtoto anaumwa yule baba hakuwahi kanyaga wala kutuma pesa za matibabu ya mtoto, baada ya miezi tisa yule mtoto akafariki dunia. Cha kushangaza yule baba hakukanyaga msibani tukazika yule mtoto.

Yule mama kifo cha mwanae kilimuumiza sana, alikua na vidonda vya tumbo vikaanza kumsumbua sana, hali ikawa mbaya baada ya wiki mbili toka mtoto wake afe na yeye akafa tukamzika. Cha kushangaza tena huyo baba hakuja kwa mazishi ya yule mama, na mpaka nazungumza hivi yule baba hajawahi kanyaga hata yule mtoto mwingine hajawahi leta matunzo yake, leo asubuhi nilivyomuona amenikumbusha na kuamua kuleta hichi kisa.

Ninachojiuliza hivi mtu unaweza gombana na mzazi mwenzio mpaka ukafikia maamuzi haya. Hata kama ni maudhi mmeudhiana mtu unaweza kufikia hatua ya kususa watoto wako na kususia mpaka mazishi?

Dunia hii ina mambo jamani. Poleni kwa maelezo mengi.

Maty, asante kutukumbusha dunia ina mambo.
Mambo ya watoto ayajuaye ni mama, tatizo la hawa wamama zetu, anabeba mimba ya fulani, na kumchagua fulani ndio kuwa baba wa watoto. Masikini huyo baba, aliwalea watoto hao mpaka huyo aliyepata hiyo sickle cell ndio ikatibua mambo. Hospital walimwambia wazi, Sicle cell ni ugonjwa wa genetic na unaambukizwa kwa heredity, baba akaulizwa kwenye familia yenu mnao, hakuna!, nadhani alipima damu akukuta kumbe alikuwa analea tuu, baba mwenyewe yupo!.

Mama alipomfuata mtoto mgonjwa, aliyemkatalia sio baba, itakuwa ni dugu tuu maana siri aijua baba peke yake, mama alipomchukua mtoto, huku baba akaufunga kabisa ukurasa bila hata haja ya kuthibitisha kama mtoto aliyebakia pia sio wake.

Pamoja na hayo, huyo mwanamume, hana huruma kabisa, mbona tuku wanaume wengi tuu tunalea watoto ambao sio wetu kwa mapenzi yote?, wako wanaotoa mapenzi kwa kutofahamu, lakini tuko sisi wengine, tumeshafahamu, DNA hatupimi ili kukwepa uthibitisho, na tunalea kwa mapenzi tena hata zaidi ya wale wa damu yetu wenyewe.

Haya ndio mambo nyie wanawake mnao tufanyia. Utaweza kulea kwa mapenzi yote, ukimhesabu tuu mtoto ni inocent victim na ulikubali kuwa baba, why let the innocent victim ateseke kwa kosa la mama yake?.

Ni kweli dunia, ina mambo tena sio machache ni mengi, na sio madogo ni makubwa!.

Pasco.
 
Back
Top Bottom