Dunia ina mambo ya ajabu sana. Naanza kuamini kuna watu wanaiendesha

Umechelewa sana kujua
Ndio maana Mimi sasa hivi baada ya kujua kwa kufanya utafiti binafsi huko zamani nilikuwa nasikiliza documentary za maconspiracy ika sasa sishtuki juu ya chochote nitakachotangaziwa nishtuke.

Mfano niliamua nisifuatulie habari kwa kipindi flani, alafu nikaona na kulinhanisha na kipindi nafuatilia. Hakuna nilichokosa au kupungukia
Unafikiri mimi niliziona habari? kupitia runinga za waganga wa jadi?
BBC, VOA na DW wameripoti sana hali ya ugaidi Kaskazini mwa msumbiji.Tatizo lenu wengi mnasikiliza zaidi wasafi media habari za mama Diamond.
Vzri hao usiwaamini sana pia. Kama uko makini utakumbuka jinsi kituo cha Aljazeer kilivyoshambuliwa enzi za vita vya afganstan Kisa kilitoa habari ambazo haziifurahishi US baada ya hapo licha ya kuunga Matangazo na aljazeera station nyingine hadi Leo hawako huru kihivyo, angalau kidogo Russia Today japo nayo ni wale wale. Zile habari zipokee ila usiziamini asilimia mia papo hapo maana vile vi viwanda vya propaganda na censorship Kubwa sana inafanyika Kabla ya kutoka
 
Na ukiangalia yote mwisho wa siku yamelenga mass killing... magonjwa, vita, ugaidi. Wanabadilisha mfumo tu wa modality!!!

#wa vits tunapaki wapi
 
Inafikirisha.
Siku hizi Mimi hakuna kitu ninachoangalia kwa makini kama habari. Nyingi huko duniani nimegundua sio habari ni kama vile mind programming tu. Tunaelekezwa

Tupende nini
Tuchukue nini
Tufanye nini
Tusifanye nini
Mkuu usishangae kuambiwa ww ni mshamba, chizi,mwendawazimu na wala usitegemee kueleweka na wajanja, werevu na wasomi wa kisasa labda sisi machizi na wendawazimu wenzio ndio tunawezaongea lugha moja na kuelewana. Kifupi hii dunia ni mahala pabaya sana hasa ukiamua kuutafuta ukweli


#wa vitz tunapaki wapi
 
Iyo ndo kazi ya mabeberu.kueneza propaganda. zao kufikia malengo yao.wanayotaka maana corona nikama maralia tu.kwetu kufa sio sana.wanaipa promoted ionekane tishio ili tununue chanjo.zao.wapige ela kuusu swala LA vita kupungua wao ndo wanaouza sirahaa sasa wametulia.wapige mchongo wa chajo.
Sisi wafrika ni watu wajinga sana. Kila kitu tunawasingizia mabeberu. Hiyo maralia ina muda gani tangu igunduliwe? Kwann msitengeneze dawa zenu na chanjo? Hiyo misaada mnayopokea kutoka kwa mabeberu kwanini msiikatae?
Toka mwaka 1961 mpaka sasa kuna shule zinaupungufu wa madawati na madarasa.
 
The law of life is the law of beliefs..

Sometime Our life do shape with our mind...
 
Haiwezekani ikitokea janga moja mengine yote yanasimama kusubiri utadhani wanaambiana.

Mfano:
Ilupotokea Corona, sijasikia ugaidi, vita vya Syria, sijui Boko haramu wala njaa duniani.

Ilipokuwa anapigwa sadamu ana Osama na Mullar Omari wanasakwa mambo mengine yote hayakusikika hadi hilo tulilopangiwa kufikiri, kutafakari liishe.

Sasa tuwe wakweli. Kwa jinsi magaidi tunavyoaminishwa ni watata nani amewaambia wasikilizie kwanza hadi upepo wa Covid upite. Hizi kumbe huwa ni Sanaa za kimataifa. Hata Boko haram hawasikiki kabisa. Utadhani dunia inatimetable ya nini tusikie na kwa wakati gani.

Hata kwetu Tangu kadudu kalipokuwa imported na kukatimua kwa maombi na baadae shetani kukapenyeza kiaina japo tutakavyekelea mbali kwa dua tena soon.

1: Hakuna habari za kipindupindu, wakati zamani kila mwaka utasikia kuna kambi kwa mnyamani Buguruni.

2: Hakuna wasiojulikana.

3: Ajali za kuua watu wengi kwa mkupua hazipo.

4: Mafisadi na watu wa kutumbuliwa hawaonekani.

5: Mafuriko huko MTO mkondoa Kilosa hayasikiki.

6: Hakuna vita sijui vya wamasai na wakulima.

Najaribu kuwaza ni Mungu anatuepushia matatizo yasibebane au kuna jamaa wanaremoti wanatupangia sisi darasa la nne tusiojua kufikiri vya kufikiri na nini tusikilize kwa wakati gani.
Kwa ufupi tu,
MEDIA ni powerful sana na ina control watu bipa wao kujua.
Ndo maana Trump ni mpingaji mzuri wa media kadhaa
 
Mbona Juzi Kati Hapa Kulikuwa Na Habari Tishio Chunya Huko Watu Wakitapika Damu Na Kufa. Kwa Sasa Korona Ndiyo Habari Baba Lao Zingine Ni Cha Mtoto
 
inategemea wewe unafualia nini sio kwamba habari nyingine hazipo ......njaa inakumbua sudani kusini na yemen vibaya mno
 
Haiwezekani ikitokea janga moja mengine yote yanasimama kusubiri utadhani wanaambiana.

Mfano:
Ilupotokea Corona, sijasikia ugaidi, vita vya Syria, sijui Boko haramu wala njaa duniani.

Ilipokuwa anapigwa sadamu ana Osama na Mullar Omari wanasakwa mambo mengine yote hayakusikika hadi hilo tulilopangiwa kufikiri, kutafakari liishe.

Sasa tuwe wakweli. Kwa jinsi magaidi tunavyoaminishwa ni watata nani amewaambia wasikilizie kwanza hadi upepo wa Covid upite. Hizi kumbe huwa ni Sanaa za kimataifa. Hata Boko haram hawasikiki kabisa. Utadhani dunia inatimetable ya nini tusikie na kwa wakati gani.

Hata kwetu Tangu kadudu kalipokuwa imported na kukatimua kwa maombi na baadae shetani kukapenyeza kiaina japo tutakavyekelea mbali kwa dua tena soon.

1: Hakuna habari za kipindupindu, wakati zamani kila mwaka utasikia kuna kambi kwa mnyamani Buguruni.

2: Hakuna wasiojulikana.

3: Ajali za kuua watu wengi kwa mkupua hazipo.

4: Mafisadi na watu wa kutumbuliwa hawaonekani.

5: Mafuriko huko MTO mkondoa Kilosa hayasikiki.

6: Hakuna vita sijui vya wamasai na wakulima.

Najaribu kuwaza ni Mungu anatuepushia matatizo yasibebane au kuna jamaa wanaremoti wanatupangia sisi darasa la nne tusiojua kufikiri vya kufikiri na nini tusikilize kwa wakati gani.
Mkuu ulishawahi kujiuliza hawa donors wanatoa funds kwa NGO'S pesa wao huwa wanatoa wap? Pesa zao wanazotoa kusupport znarud vp?
 
Umeisikia habari ya watoto wa kike zaidi ya 300 kutekwa nyara leo huko Nigeria ?
Haiwezekani ikitokea janga moja mengine yote yanasimama kusubiri utadhani wanaambiana.

Mfano:
Ilupotokea Corona, sijasikia ugaidi, vita vya Syria, sijui Boko haramu wala njaa duniani.

Ilipokuwa anapigwa sadamu ana Osama na Mullar Omari wanasakwa mambo mengine yote hayakusikika hadi hilo tulilopangiwa kufikiri, kutafakari liishe.

Sasa tuwe wakweli. Kwa jinsi magaidi tunavyoaminishwa ni watata nani amewaambia wasikilizie kwanza hadi upepo wa Covid upite. Hizi kumbe huwa ni Sanaa za kimataifa. Hata Boko haram hawasikiki kabisa. Utadhani dunia inatimetable ya nini tusikie na kwa wakati gani.

Hata kwetu Tangu kadudu kalipokuwa imported na kukatimua kwa maombi na baadae shetani kukapenyeza kiaina japo tutakavyekelea mbali kwa dua tena soon.

1: Hakuna habari za kipindupindu, wakati zamani kila mwaka utasikia kuna kambi kwa mnyamani Buguruni.

2: Hakuna wasiojulikana.

3: Ajali za kuua watu wengi kwa mkupua hazipo.

4: Mafisadi na watu wa kutumbuliwa hawaonekani.

5: Mafuriko huko MTO mkondoa Kilosa hayasikiki.

6: Hakuna vita sijui vya wamasai na wakulima.

Najaribu kuwaza ni Mungu anatuepushia matatizo yasibebane au kuna jamaa wanaremoti wanatupangia sisi darasa la nne tusiojua kufikiri vya kufikiri na nini tusikilize kwa wakati gani.
 
Haiwezekani ikitokea janga moja mengine yote yanasimama kusubiri utadhani wanaambiana.

Mfano:
Ilupotokea Corona, sijasikia ugaidi, vita vya Syria, sijui Boko haramu wala njaa duniani.

Ilipokuwa anapigwa sadamu ana Osama na Mullar Omari wanasakwa mambo mengine yote hayakusikika hadi hilo tulilopangiwa kufikiri, kutafakari liishe.

Sasa tuwe wakweli. Kwa jinsi magaidi tunavyoaminishwa ni watata nani amewaambia wasikilizie kwanza hadi upepo wa Covid upite. Hizi kumbe huwa ni Sanaa za kimataifa. Hata Boko haram hawasikiki kabisa. Utadhani dunia inatimetable ya nini tusikie na kwa wakati gani.

Hata kwetu Tangu kadudu kalipokuwa imported na kukatimua kwa maombi na baadae shetani kukapenyeza kiaina japo tutakavyekelea mbali kwa dua tena soon.

1: Hakuna habari za kipindupindu, wakati zamani kila mwaka utasikia kuna kambi kwa mnyamani Buguruni.

2: Hakuna wasiojulikana.

3: Ajali za kuua watu wengi kwa mkupua hazipo.

4: Mafisadi na watu wa kutumbuliwa hawaonekani.

5: Mafuriko huko MTO mkondoa Kilosa hayasikiki.

6: Hakuna vita sijui vya wamasai na wakulima.

Najaribu kuwaza ni Mungu anatuepushia matatizo yasibebane au kuna jamaa wanaremoti wanatupangia sisi darasa la nne tusiojua kufikiri vya kufikiri na nini tusikilize kwa wakati gani.
Nasikiliza BBC World Service kipindi cha Newshour, niko dakika ya 17.

Wanaongelea mahusiano ya Saudi Arabia, Muhammed bin Salman na mauaji ya Khashoggi na uongozi wa Biden, na mabomu ya Marekani Syria.

Hawajaongelea Covid.

Tatizo inawezekana ni ufuatiliaji wako.
 
Back
Top Bottom