Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,718
- 830,763
habar wana jf.... jana jioni nikiwa narejea pahala nilipofikia huku rufiji nikakuta mama anamchapa mwanae wa kiume kama mfugo ikaniuma xana nikahc labda ni mtt wake wa kambo, nikataka kujua xababu ya adhab hyo....'Mwangalie mwenyewe alivyoharibika mfereji wa maji taka wote umebolewa' xo namchapa hataki mtaja mhucka mkuu....mtt wa miaka mitano tena wa kiume....imeniuma xana!!!
ila umetumia lugha ya kiface book mno huku wengi umri umesonga