Dunia imekwisha

Dunia imekwisha

habar wana jf.... jana jioni nikiwa narejea pahala nilipofikia huku rufiji nikakuta mama anamchapa mwanae wa kiume kama mfugo ikaniuma xana nikahc labda ni mtt wake wa kambo, nikataka kujua xababu ya adhab hyo....'Mwangalie mwenyewe alivyoharibika mfereji wa maji taka wote umebolewa' xo namchapa hataki mtaja mhucka mkuu....mtt wa miaka mitano tena wa kiume....imeniuma xana!!!

ila umetumia lugha ya kiface book mno huku wengi umri umesonga
 
Hawa waandika "x" badala ya "s", tuendelee tu kuwacriticize kwenye thread zao, ipo siku wataogopa na kujirekebisha.
 
silly bizzy
Boring
badili maneno hapo watu wametoka nje ya mada na vijineno vyako.
 
habar wana jf.... jana jioni nikiwa narejea pahala nilipofikia huku rufiji nikakuta mama anamchapa mwanae wa kiume kama mfugo ikaniuma xana nikahc labda ni mtt wake wa kambo, nikataka kujua xababu ya adhab hyo....'Mwangalie mwenyewe alivyoharibika mfereji wa maji taka wote umebolewa' xo namchapa hataki mtaja mhucka mkuu....mtt wa miaka mitano tena wa kiume....imeniuma xana!!!

Kiukweli umeandika kitoto na hizo X badala ya S hadi imeondoa mantiki ya mada yako,sipendagi kabisa halafu na zile za K' eti akimaanisha Okay au sawa.ni utoto ni upumbavu tu...
 
Mtoa mada.... nadhani nawewe ulipaxwa kuchapwa fimbo.... nyingi xana etiiiiii....
 
Unakimbilia wapi mkuu. Hebu panga vizuri mada yako ieleweke.
 
Ndiyo hivyo dunia imekwisha,Mungu awalinde watoto wetu,shetani yupo kazini haswaa maana anajua yuko na muda mchache.
 
habar wana jf.... jana jioni nikiwa narejea pahala nilipofikia huku rufiji nikakuta mama anamchapa mwanae wa kiume kama mfugo ikaniuma xana nikahc labda ni mtt wake wa kambo, nikataka kujua xababu ya adhab hyo....'Mwangalie mwenyewe alivyoharibika mfereji wa maji taka wote umebolewa' xo namchapa hataki mtaja mhucka mkuu....mtt wa miaka mitano tena wa kiume....imeniuma xana!!!

Na wewe unaandika kijinga.

Kiswahili ni lugha yako ya Taifa kienzi.
 
Siku za nyuma mtoto wa kike akizaliwa ilikuwa inaonekana hasara,nowdays watoto wakiume jamani dah hadi naogopa!!
 
alipigwa,ulichukua hatua gani? hujui kuwa wewe ni sehemu ya dunia kuisha na unatimiza unabii? angalia sana ndugu yangu,hata lugha yako inaonesha wewe ni form 6 uliyemaliza mtihani juzi pole sana.
 
Back
Top Bottom