kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,500
Mungu angefanya njia na kuwafanyia wepesi bt dunia ingekuwa inanuka uvundo
....na uvundo ungeleta global warming:angry:
Mungu angefanya njia na kuwafanyia wepesi bt dunia ingekuwa inanuka uvundo
Kwani Adamu kazaliwa na nani...???...Kama wanawake wasingekuwepo tungezaliwa na nani?
See how beautiful the World is, WITH WOMEN, and then fadhila mnazoMrudishia Mungu ni kutupiga?!, badala ya kutumia akili Alizowapa Mola kutafuta njia za amani za kuleta maelewano panapo mukshari