dunia bila wanawake ingekuwaje

dunia bila wanawake ingekuwaje

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,313
Reaction score
56,012
hivi wanaume tungekuwa tunaweza kujizaa kama wale kuku wa nyama wasio na jogoo bila kiumbe mwanamke
waliosoma bording za boys tupu wanaelewa
sox inasimama ,jeans ukikunja inavunjika kisa uchafu
simu tungetumia kitochi
najua kuna watu wamenunua magari mazuri sababu ya kuwavutia wanawake
wanavaa vizuri sababu ya wanawake
wanatafuta pesa sababu ya wanawake
maisha bila wanawake
 
Maisha yenu yangekuwa magumu kama kumnong'oneza kiziwi....
tupendeni basi na kutujali kwa kuwa mmeona umuhimu wetu:A S 11:
 
Angekua na michunusi kibao kama nundu la Ng'ombe kwa ugumu na concentrations za magoli
 
Mungu angefanya njia na kuwafanyia wepesi bt dunia ingekuwa inanuka uvundo
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hhahaah ingependeza maana ningetembea na boxa tuu nakatiza kkoo napita posta bila ttzo duhhh
 
dunia ingekua kawaida tu,kwasabab tungekua hatujawahi kuwaona wala kuishi na wanawake,maisha yangeendelea kama kawaida
 
Mh pangechosha sana aisee kuwa jinsia moja tu na yeye Mungu akaamua kutuumba na sie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom