Dumu la lita 20 mafuta ya kupikia sasa ni Tshs 90,000, bado yanaenda juu

Na bado.
 

wanazungumzia mafuta ya kupikia kupanda bei sio upinzani peleka ajenda yako pengine ndio maana mnapigwa kama vile wezi wa viatu msikitini
 
Rudini mashambani mkalime michikichi na alizeti kwa wingi kama mnataka bei ya mafuta ya kula kushuka.
 
Mbona sisi tunanunua lita 5,000? Nikadhani wanauza 100,000 kwa dumu!
 
Mi nimejinunulia Machine ya kukamulia mafuta nyumban Saba Saba nikimekimbia vitu hivyo hivyo. Bei ya mafuta unakuta ipo juu halfu mafuta yenyewe hayana ubora yanasababisha Magonjwa.

Sasa hivi najikamulia mfuta ninayoyataka mwenyewe
Shida sio mashine shida ni malighafi. Wekezeni kwenye kilimo cha malighafi yanayozalisha bidhaa ya mafuta.
 
hivi unauhakika wengi walimchukia JPM? wakati akifanya ziara mikoani ilikuwa ukiangalia, au mikutano yake. msiba wake uliona watu pamoja na viongozi waliomzika. TZ hakuna rais aliependwa kama JPM
Sio kweli
 
Shida sio mashine shida ni malighafi. Wekezeni kwenye kilimo cha malighafi yanayozalisha bidhaa ya mafuta.
Ngoja nianze kuishi kwa Mbinu maana hakuna namna. Kwa sisi wa mikoani unanunua mbegu za alizeti gunia moja kwa elfu 45 unakamua kwa elfu 10 grahama zingine elfu 5 kisha unapata lita 22 unakuwa ume save kati ya elfu 40 au 50. Mjini mbinu.
 
Ngoja nianze kuishi kwa Mbinu maana hakuna namna. Kwa sisi wa mikoani unanunua mbegu za alizeti gunia moja kwa elfu 45 unakamua kwa elfu 10 grahama zingine elfu 5 kisha unapata lita 22 unakuwa ume save kati ya elfu 40 au 50. Mjini mbinu.
Wapi huko gunia la ALIZETI linauzwa elfu 45?
 
Wanatangaza wanachukia ila moyoni wanampenda
Tutamkumbuka magufuli aidha kwa kupenda au kutopenda mzee alikuwa kiongozi bora
hivi unauhakika wengi walimchukia JPM? wakati akifanya ziara mikoani ilikuwa ukiangalia, au mikutano yake. msiba wake uliona watu pamoja na viongozi waliomzika. TZ hakuna rais aliependwa kama JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…