Kwa waenda club maisha miaka hiyo mtakumbuka huyo chawa hadi ma-mende wakawa wanafanya yao kisa tamaaa,ghafla akawa mbeba pochi wa wema sepetu kipindi kile yuko juu akaanza kujiita bill sepetu siku hizi anairemba eti sepenga,yaaani kazi za media zimekuwa za kijinga sana