Duka la El Shadai

Duka la El Shadai

Sayaka

Senior Member
Joined
Aug 3, 2014
Posts
162
Reaction score
50
Habari wana jf. Kama kuna mtu anajua lile duka kubwa la El shadaai linalouza mapazia na mambo mengi ya decorations za ndani ya nyumba liko mtaa gani Kariakoo hapa jijini Dar. Nitashukuru
 
Habari wana jf. Kama kuna mtu anajua lile duka kubwa la El shadaai linalouza mapazia na mambo mengi ya decorations za ndani ya nyumba liko mtaa gani Kariakoo hapa jijini Dar. Nitashukuru
Mkuu ipo k/koo, ukifika pale makutano ya Uhuru na Living stone. Ukifika pale muulize mtu yoyote kwa Bakhresa, Duka la El shadai linaangaliana na Nyumba ya Bakhresa. Ukifika hapo huwezi potea kwani wana bango kubwa Mlangoni. kama mwenyeji nenda Makutano ya mitaa ya Michikichi na Livingstone ndo hapo hapo. mia
 
Mkuu ipo k/koo, ukifika pale makutano ya Uhuru na Living stone. Ukifika pale muulize mtu yoyote kwa Bakhresa, Duka la El shadai linaangaliana na Nyumba ya Bakhresa. Ukifika hapo huwezi potea kwani wana bango kubwa Mlangoni. kama mwenyeji nenda Makutano ya mitaa ya Michikichi na Livingstone ndo hapo hapo. mia

Nashukuru sana kama ni hapo kwa Azam napajua basi itakuwa karibu sana. Asante sana ndugu yangu
 
kama sijakosea ni livingstone/uhuru jiran yake kuna duka la bakhresa,tafuta hayo makutano lakin tumia hilo duka la bakhresa la ice-cream kama alama
 
Hili duka lipo mtaa WA aggrey makutano ya mtaa WA aggrey na Livingstone karibia na kwa bakhresa ...mwenye Hilo Ni duka cyo mwarabu Ni mchaga maana wengine washaanza kuleta udini
 
Aiseee... its amazing jinsi ambavyo swali dogo la kuuliza njia lilivyotolewa nje ya mada na kuingia suala la ugaidi, udini nk. Duuuh...
 
Hakuna sehemu kuna chuki za kidini kama jf .tunawaomba mods kuwa wakali kidogo.
 
Tumia macho kuonea na makalio kukalia. usivigeuze geuze. Mwenzio kaandika EL SHADAAI wewe unaleta AL SHEITWAAN. tofautish EL na AL
Hakuna tofauti ya Al na El,ni matamshi tu,kama THE wapo wanaoitamka THA,wengine huandika kimatamshi kuliko kama asili ya maandishi yalivyo.
 
Habari wana jf. Kama kuna mtu anajua lile duka kubwa la El shadaai linalouza mapazia na mambo mengi ya decorations za ndani ya nyumba liko mtaa gani Kariakoo hapa jijini Dar. Nitashukuru

Kuna moja lipo mtaa wa SIKUKUU na UHURU kubwa kabisa lipo Mtaa wa AGREY na LIVINGSTONE ulizia majina ya hiyo mitaa utafika
 
kama sijakosea ni livingstone/uhuru jiran yake kuna duka la bakhresa,tafuta hayo makutano lakin tumia hilo duka la bakhresa la ice-cream kama alama

Asante mpendwa
 
Back
Top Bottom