Duh..wanawake hawa pasua kichwa....ebu chech hili

Duh..wanawake hawa pasua kichwa....ebu chech hili

Sku hizi hayo ya sana "kizazi kipya" Mbona yamenitokea BigBoy aliniomba laki5 eti kumpa laki3 akasepa hajibu cm carefree.. nami kawaida so what...! wapo kimasilahi

Hakupendi huyo anapenda noti! Jaribu kumtolea nje siku nyingine akiomba noti uone atakavyo lala mbele!
 

yani kumpa tweny mwenzio
unahisi anakuchuna?mapenzi yapo
ila huenda alikua na shida na si mwanamke wa kupenda
pesa coz elfu ishirini sio ishu!!punguza mkono wa birika!!

Inategemea una kipato gani, kama unapata laki mbili kwa mwezi elfu 20 lazima iwe ishu! kama unaingiza ka milioni kwenda mbele, hapo ni kumgawia mupenzi hata kama hazihitaji!
 
Kuna binti furani nilikutanae miezi miwili iliyopita ni nilimpenda sana na tukapeana ahadi nying. Chakushangaz Juzi kaniomba sh 20,000/= Nikamwambia kwa sasa hyo pesa sina mmmh kumwambia hivyo tu ndo kanuna mpaka leo anitafuti,nampigia simu yake sometme anapokea or hapokei.....jaman hpo kuna TRUE love kweli......give me USHAURI ​

Huyo kapenda hela sio mtu,achana naye
 
Kuna binti furani nilikutanae miezi miwili iliyopita ni nilimpenda sana na tukapeana ahadi nying. Chakushangaz Juzi kaniomba sh 20,000/= Nikamwambia kwa sasa hyo pesa sina mmmh kumwambia hivyo tu ndo kanuna mpaka leo anitafuti,nampigia simu yake sometme anapokea or hapokei.....jaman hpo kuna TRUE love kweli......give me USHAURI ​
Kagundua haumfai, ya nini awe na mtu anayemchafua bila kumsafisha! Kama unampenda utamjali!!!!
 
Duh!njaa hzi,yani elfu 20 nayo ni pesa ya kuomba kwel?afu we nae kama huna pesa ndogo namna hyo kama elfu 20,unang'ang'ana na wanawake wa kazi gani?
 
Dogo bado tunaishi kwenye mfumo dume. Hata mkiwa na mshahara sawa demu wako atategemea kitu kutoka kwako. Wakati mwingine hata hahitaji, ila ukitimiza anahesabu unampenda. Kwenye mahusiano mizinga haikwepeki kwa sababu kwenye jamii zetu mwanaume ndio anategemewa kutoa. Kama huna hata 20 achana na mademu. Utaadhirika. Atakuja kuita sehemu mfano bar halafu akatarajia ulipe usipokuwa na hela patachimbika kwa sababu hata yeye hatakuwa na hela na misosi keshagonga.
 
Kuna binti furani nilikutanae miezi miwili iliyopita ni nilimpenda sana na tukapeana ahadi nying. Chakushangaz Juzi kaniomba sh 20,000/= Nikamwambia kwa sasa hyo pesa sina mmmh kumwambia hivyo tu ndo kanuna mpaka leo anitafuti,nampigia simu yake sometme anapokea or hapokei.....jaman hpo kuna TRUE love kweli......give me USHAURI ​

Mkuu wewe utakua unaishi tandale tena wewe mshwahili kweli na ushauri wangu huyo sio mwanamke atakuwa anajali hela tu
 
Inategemea una kipato gani, kama unapata laki mbili kwa mwezi elfu 20 lazima iwe ishu! kama unaingiza ka milioni kwenda mbele, hapo ni kumgawia mupenzi hata kama hazihitaji!

yani dume zima ushindwe
kumpa mpnz wako elfu 20?
hata kama anapokea laki na nusu khaaa!!
 

yani dume zima ushindwe
kumpa mpnz wako elfu 20?
hata kama anapokea laki na nusu khaaa!!

Duh!! Mpaka nimekumbuka ule wimbo wa kina marehemu TX Moshi William "Wanaume tumeumbwa, matesoo, matesoo kuhangaika"! Tuoneeni huruma watoto wa wanawake wenzenu jamani!! Maisha tight ile mbaya!!
 
Duh!njaa hzi,yani elfu 20 nayo ni pesa ya kuomba kwel?afu we nae kama huna pesa ndogo namna hyo kama elfu 20,unang'ang'ana na wanawake wa kazi gani?

Hahahaha, ushaur wa JF
 
Mkuu wewe utakua unaishi tandale tena wewe mshwahili kweli na ushauri wangu huyo sio mwanamke atakuwa anajali hela tu
kaka y unasema naishi TANDALE? and thax kwa ushauri
 
Kuna binti furani nilikutanae miezi miwili iliyopita ni nilimpenda sana na tukapeana ahadi nying. Chakushangaz Juzi kaniomba sh 20,000/= Nikamwambia kwa sasa hyo pesa sina mmmh kumwambia hivyo tu ndo kanuna mpaka leo anitafuti,nampigia simu yake sometme anapokea or hapokei.....jaman hpo kuna TRUE love kweli......give me USHAURI ​
We unaonaje?
 
Kama haukuwa nayo kweli na akaamua kukuchunia kisa pesa hana upendo na ww. Kama angekupenda asingekukaushia sikia kengele tulia yuko atakayekujali

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
Sasa naona tunafika mbali. Siyo kila mwanamke atakae kuomba hela anataka kukuchuna, wapo wanaokuwa na shida kiukweli. We msaidie kama unavyoweza kmsaidia mtu yeyote. Au wewe kila unayemsaidia lazima kuwe na malipo!?
 
Ishirini kaka hawa wanataka hele we mpe hela kila kitu kitaenda sawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom