Mziki unalipa, ila masongi mengine hayalipi, kama hili la kujambajamba!Mziki siku hizi unalipa eeeh
comedy tupuMziki unalipa, ila masongi mengine hayalipi, kama hili la kujambajamba!
Kama comedy, basi jamaa kapitilizacomedy tupu
Jamaa katia fora, hamna msanii aliyetoa songi sampuli hii halafu likawekwa public on youtubeToo much.........
Duh! HatariiiiJamaa kapitiliza
Likipigwa kwenye vituo vya redio watafanya yao mapema, kwanza hata kwenye maredio watajishtukia kuipiga. Basata wataichimbukia hukuhuku YouTubeBasata watafanya yao...
Hiyo ni comedy mjomba, ukiisikiliza lazima ucheke, upande comedy, upande ujingambna ni ujinga sio comedy
Jamaa ni mkali, wakongwe wa comedy waliolala, wataamka sasa, anaonyesha uwezo wa kuvumbua upekee ambao wasanii wakubwa hawanaHuyu jamaa sasa anaboa, me nlikua nshaanza kumuelewa lkn sa iv aaarrghhhh![]()
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us