Duh... Netanyahu kayakanyaga aisee!

Mzayuni hawezi toboa miezi miwili mtu bee na muajemi. Amshkuru US Kwa kumkingia kifua kila mara Hali ingekua mbaya zaidi, mkubwa Mpishe zayuni kazi yake ni tuvikundi tuu kama Hamas.
Fikiria majeshi ya nchi 2 tofauti yanapambana na jeshi la nchi moja yenye vikwazo, na bado wanahenyeshwa mpaka kuomba vita iishe 🤣🤣🤣
 
Thread ingekuwa nzuri lakini umeiharibu kwa kuandika kiushabiki tena ushabiki wa kijinga.
1. Iron dome na Alloy 3 zime intercept karibia 95% ya makombora ya Irani, kumbuka kuwa hakuna mfumo au mashine ambayo inaufanisi wa 100%.
2. Lengo la Israel ilikuwa kuvuruga program ya nyuklia ya Irani. Wao wameona wamefanikiwa.
3. Wananchi wengi wa Israel wako kwenye Bomb shelters na kufanya kazi za kujenga uchumi zisimame, wanataka vita iishe ili wawndelee na shughuli za kiuchumi.
4. Irani imepata harasa ya vita hii kuliko Israel ambayo imepoteza raia wa kawaida wachache.
 
Anaujua Trump alieomba vita isimamishwe. Kama kusingekuwa na ushindi kwa Iran hii vita Netanyahu na Trump kamwe wasingeisimamisha. Hata wewe mwenyewe unalijua hilo.
Malengo ya Israel na US yalikuwa kuharibu vinu vya nukes baada ya kufeli kwa mazungumzo. Je hayo yamefanyika au hajafanyika?

Au wewe twambie kitu gani Iran wamefanikiwa kuzuia kufanyika pale kwao
 
Hakuna lolote ni baada ya Iran kukubali kuachana na mpango wake haramu wa kutaka kumiliki silaha za nyuklia.

It's as simple as such. Mengine ni porojo tu za jihadists wanazotoka nazo masjid.
 
Hakuna lolote ni baada ya Iran kukubali kuachana na mpango wake haramu wa kutaka kumiliki silaha za nyuklia.

It's as simple as such. Mengine ni porojo tu za jihadists wanazotoka nazo masjid.
Ni wapi Iran imekubali mpango wa kuachana na nyuklia?

Au umeokota taarifa zako kutoka katika vikao vyenu vya gongo!
 
Israel hata ikipata hasara kubwa, huwa inaficha taarifa kwa kukataa kuonekana dhaifu. Hata hivyo madhara iliyopata Israel ni makubwa ndomaana aliamua kuiita Marekani ije imsaidie kupambana.
 
Najiuliza tu kwa sauti.

Hivi kama Iran angekuwa kachapika kisawasawa kama habari tunavyozipata hili tangazo la cease fire lingesikika kweli?

Yaan adui wa Israel na USA awe dhaifu halafu wampe muda ajipange.?

Labda em ngoja nijipe muda maana mimi ni mtazamaji tu wa hivi vita hapa duniani.

Ila kiukweli na uhalisia niko upande wa Urusi japo ananiudhi namna anavyopeleka OP yake kihuruma.
 
Ukiona Netanyahu na Trump wanajadili usitishaji wa vita, ujue madhara yalikuwa makubwa kwao kulivyo tunavyofiri. Wao wanaojua ni wanajeshi wangapi pamoja na raia wameuwawa.

Wao ndio wanajua ni kambi ngapi na mifumo ya ulinzi vimelipuliwa.

Ila wayahudi wa kazula mimba hawaelewi kinachoendelea, kazi yao ni kubisha na kuivika ushindi usiyostahili Israel.
 
Ni wapi Iran imekubali mpango wa kuachana na nyuklia?

Au umeokota taarifa zako kutoka katika vikao vyenu vya gongo!
Ili kuokoa maisha yake asiuwawe, Ayatollah ameomba poo na kukubali yaishe kwani alikua apelekwe kwa mabikra 72.
 
Sasa wajinga wameongezeka jf vita ishaisha, kama unaweza anzisha tena wapigie wenyewe na sio kuleta matapishi jf,

Vichwa vinataka sometimes new
 
Israel kachapwa mchana kweupe kwasasa wale wenye kuamini Israel ndio Taifa teule kwasasa polee yenu Jehova wenu ndio uyo kapigwa na Ayatollaah..,
Uzuri wa uongo huwa hauishi muda mrefu. Waliotudanganya kuhusu Israel sasa wameumbuka vibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…