Huyu kijana anapaswa atiwe adabu (ashtakiwe kwa mujibu wa sheria) kwa kuhatarisha maisha ya huyu bint.Mtoto aliyepakiwa katika pikipiki bila kuvalishwa kofia maalum ya kujikinga na madhara ya ajali akiwa amelala wakati chombo hicho cha usafiri kikiwa kwenye mwendo. (Picha na Mroki
Unajuwa mwana, jamaa alipaswa kutiwa bakora haswaa...!Yani yeye kavaa helmet na mtoto kamuachia kichwa kikiwa exposed? Huyu mtu hana akili kabisa.
Unajuwa mwana, jamaa alipaswa kutiwa bakora haswaa...!
Huyo jamaa kwenye picha, wala si wa kumtetea, kwani hiyo leseni yake alihipataje bila kujuwa sheria za barabarani... kwani hakufanyiwa majaribio kabla..!?Ni umasikini tu wanungwana msimlaumu na pia kutokuelewa kwanini yeye na abiria wanatakiwa wavae kofia maalumu. Hivyo miye binafsi nadhani anatakiwa aelimishwe vizuri (na labda kwa mifano hai-DVDs) kwani akishaelewa atawaelimisha wenzake pia. Bakora tupu au kufikishwa mahakamani na labda kufungwa hakutamnufaisha huyo bwana, binti yake na hata taifa.
Hapa si bure nadhani Trafic wanasubiri ajali mbaya itokee ili waunde TUME ya kuichunguza ajali hiyo. Maana Haiwezekani wamwachie huyu bwana akatize barabarani akiwa amempakia huyu mtoto katika hali hatarishi kama hivi.Ee MUNGU EPUSHA AJALI HII
...Huyo hajavaa helmet ila ameiegesha kichwani tu maana hata mikanda yake hajafunga akiyumba tu inadondoka!! Very risk!!Yani yeye kavaa helmet na mtoto kamuachia kichwa kikiwa exposed? Huyu mtu hana akili kabisa.