duh!hatimae nami ndani ya nyumba.

dickson longo

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
232
Reaction score
52
Nimekuwa nasoma post humu ndani.JF ipo juu.Nami mnifungulie mlango.
 
Karibu, Ingia na fiatu fyako tafathali.
 
Is this awakening inspiration au guys on a mission against JF? The wave of new members has been rising of late!
 
Umechoka kusoma unataka kuandika, I get, karibu kiongozi
 
Welcome, karibu, karibia.
 
nilishapata taarifa za ujio wako. usikhofu ila tahadhari na wadogo zako hawa
 
Nimekuwa nasoma post humu ndani.JF ipo juu.Nami mnifungulie mlango.

.........dickson unakaribishwa sana,...........tena kwa mikono miwili,........ila hutakiwi kuwa na (tamka jina lako la pili mara mbili fululizo),........karibu sana,
 
.........dickson unakaribishwa sana,...........tena kwa mikono miwili,........ila hutakiwi kuwa na (tamka jina lako la pili mara mbili fululizo),........karibu sana,
<br />
<br />poa nimekusoma.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…