Duh! Fastjet kiboko dk 45 kumbwani

Duh! Fastjet kiboko dk 45 kumbwani

yutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
1,778
Reaction score
1,222
kwa sababu natokea 'intilia' kidogo (santilia) ilinichukua kama siku mbili kupata booking safari ya ndege. nikitokea uwanja wa songwe mbalizi mbeya safari yangu ya angani ilinichukua takriban dk 45 tu ukiachia rabsha za hapa na pale japo ni gharama lakin uwazi kuchimba dawa wala kula njiani labda uhuru tu wa kuwapungia mikono wasindikizaji na kutembea ovyo ndani hakika nineinjoi baada kufika NIA dar nilijiona mwepesi na tafakuri nyingi kichwani kwamba ni kweli nimefika au naota, nimezoea tren ya tazara zaidi siku 2 kusafiri njian its so amazing lol ilinichukua karibu masaa 8 kuwafakia wenyeji wangu nao walishangaa wala hawakuamin kama nimekuja na ndege kumbe niliminya sehemu nagonga viloba ili akili ikae sawia nimeamini tafuta ela uitmie na maisha mazuri yakuzoee
 
kwa sababu natokea 'intilia' kidogo (santilia) ilinichukua kama siku mbili kupata booking safari ya ndege. nikitokea uwanja wa songwe mbalizi mbeya safari yangu ya angani ilinichukua takriban dk 45 tu ukiachia rabsha za hapa na pale japo ni gharama lakin uwazi kuchimba dawa wala kula njiani labda uhuru tu wa kuwapungia mikono wasindikizaji na kutembea ovyo ndani hakika nineinjoi baada kufika NIA dar nilijiona mwepesi na tafakuri nyingi kichwani kwamba ni kweli nimefika au naota, nimezoea tren ya tazara zaidi siku 2 kusafiri njian its so amazing lol ilinichukua karibu masaa 8 kuwafakia wenyeji wangu nao walishangaa wala hawakuamin kama nimekuja na ndege kumbe niliminya sehemu nagonga viloba ili akili ikae sawia nimeamini tafuta ela uitmie na maisha mazuri yakuzoee

Samahani mkuu ndiyo mala yako ya kwanza kupanda Ndege?
 
Hongera mwaya kwa kupanda ndege jitahidi pia wakati unarudi mbeya urudi na ndege
 
sikuzaliwa nayo ndio maana jana nikaandika historia sijui weye mwenzangu

Hakuna aliezaliwa na Ndege, kwa upande wangu sijawahi kupanda kabisa, hata nikienda JNIA sizioni maana pale juu wametuzuia kupanda eti bush alizuia.
 
Edit uzi wako andika JNIA-JK NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT

Alipoandika Dar kwani haukuelewa? Duniani kwenye mengi hata mitandaoni kucheki flight stats etc unaweka Dar... No ya Nyerere wala nini. Umemwelewa unataka kumsahihisha wakati hata kiduniani wengi hawajui jina hilo lipo.
 
Back
Top Bottom