ndo maana nawaza kuhama bongo,
huku maisha ni heka heka kila pahala,
bora nikaishi mkoa nitulize akili yangu.
Kila mahali na changamoto zake, kuna mikoa utaenda hakuna vibaka ndio, ila unashangaa mara leo umeamka umenyolewa nywele upande, mara ukipika nyama inachacha in 30 mnts, mara ulila chumbani unaamka uko jikoni yaani ni kumwachia MUNGU tu!
uuuh.....nitakufa na presha....bora kibaka aisee.......
Dakika tano tu zilizopita tukio hili limetokea hapa kigamboni:
Jioni ya leo tumepata wageni wengi mpaka ilikuwa raha sana. We enjoyed the jokes and th company kwa kweli.
Muda mfupi uliopita wakaanza kuondoka basi tukawasindikiza. Mmoja wa wageni hao ni mdada jirani yetu apa.
Basi mi ndo nikawa wa kumsindikiza. Nkamwambia mshkaji duh mi hata sibebi simu wala hela..huyo tukatoka.
Kufika nusu njia si washkaji watatu wakatokea na wana visu.
Dah mtu mzima nimekaa chini leo mm wakanisachi wamenkuta na funguo tu. Dada wa watu wamemchukulia simu zake.
Imeniuma kweli i couldnt do anything.
Imeniogopesha zaidi kwani ndo mara ya kwanza kunitokea tangu niishi huku kigamboni.
Dah..ni hayo tu wakubwa namshukuru Mungu tuko wazima hawajatudhuru na honestly aka ka android kangu sijui ninhefanyaje...
Thank you Lord..ila sidhani kama next time watapata wakati mrahisi hivi.
Yaani kama ulikuwa una mpango wa kumtokea, sahau! A real man will furukuta aisee. And a lady will bembeleza u to be calm. Mekula kwako aisee.
da pole dady namshukuru Mungu hawajakuwowa kama baba V alivyosema, a mbele ya vibaka hamnaga baunsa