Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
Huyu mtu nashindwa kuelewa anakoelekea ni wapi sijui, maana kadiri siku zinavyozidi kwenda anazidi kuwa mtu asiye na busara hata kidogo, sijui ni mapombe ama bhange ndio zinamfanya kuwa hivi maana kutwa kupost clips IG za kipuuzi tu
Hivi kweli kawa nani mpaka anafikia hatua ya kutukana kabila la watu (wahaya) kuwa ni wachafu, kaenda mbali zaidi mpaka anawaita ni mbwa wenye kifafa..
Watu walio karibu na huyu mtu wamshauri tu kuwa kiki zisizo na maana zishapitwa na wakati.. Afanye kazi aachane na huu ujinga kabisa.
Hivi kweli kawa nani mpaka anafikia hatua ya kutukana kabila la watu (wahaya) kuwa ni wachafu, kaenda mbali zaidi mpaka anawaita ni mbwa wenye kifafa..
Watu walio karibu na huyu mtu wamshauri tu kuwa kiki zisizo na maana zishapitwa na wakati.. Afanye kazi aachane na huu ujinga kabisa.