Dubai yatangaza wakenya wenye degree tu kuingia Dubai

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Swala la maofisa wa kenya kuwakamata baadhi ya wanafamilia
wa emirates imeingia katika hatua mpya baada ya uongozi wa emirato
kutuma waraka unaoonyesha wakenya watakaoruhussiwa kuingia dubai ni wale
wenye degree zao tu na tena waje na certificate origin ..warak huo umeshtua na waziri wa kenya akishirikiana na baadhi ya viongozi wa immigration
kunyanyuka na pipa leo kuelekea dubai kusuluhisha..natumaini walichukua vyeti
vyao maana sheria inaanza leo....
Baadhi ya wakenya walioulizwa walidai sie atuna shida wao ndio wanataraji watu wengi kutoka nje so kama wanaona vipi poa wakae kivyao na si kivyetu.,mwingine alisema unajua watu wengi wa emirates proff wanatokea nje ya nchi yao,mi nawafanyiaaaga kazi ya kutafuta wafanyakazi zaidi ya mia kila miezi sita...............................................................jamani nimesikia kwenye bbc jion hii mmh mwili ulisisimka nkasema mungu asaidie isije tanzania hiyo shweria.....madada zetu wale waliojazwa na mapredeshe sijui watanunulia wapi mizigo yao....nshatema mate chini


mungu tusaidie tanzania
 
swala la maofisa wa kenya kuwakamata baadhi ya wanafamilia
wa emirates imeingia katika hatua mpya baada ya uongozi wa emirato
kutuma waraka unaoonyesha wakenya watakaoruhussiwa kuingia dubai ni wale
wenye degree zao tu na tena waje na certificate origin ..warak huo umeshtua na waziri wa kenya akishirikiana na baadhi ya viongozi wa immigration
kunyanyuka na pipa leo kuelekea dubai kusuluhisha..natumaini walichukua vyeti
vyao maana sheria inaanza leo....
Baadhi ya wakenya walioulizwa walidai sie atuna shida wao ndio wanataraji watu wengi kutoka nje so kama wanaona vipi poa wakae kivyao na si kivyetu.,mwingine alisema unajua watu wengi wa emirates proff wanatokea nje ya nchi yao,mi nawafanyiaaaga kazi ya kutafuta wafanyakazi zaidi ya mia kila miezi sita...............................................................jamani nimesikia kwenye bbc jion hii mmh mwili ulisisimka nkasema mungu asaidie isije tanzania hiyo shweria.....madada zetu wale waliojazwa na mapredeshe sijui watanunulia wapi mizigo yao....nshatema mate chini


mungu tusaidie tanzania
mkiwagusa wale wamanga wa loliondo, wanatwaje vile? Obc? Basi mjue hayo ndiyo yatawatokea. Ni namna ya kutunishiana misuri kuona nani zaidi.
 
kwani dubai ndio sehemu pekee duniani kwa wafanyabiashara wa TZ?Mi nilifikiri wengi wanakwenda china,malaysia,hong kong etc
 
Back
Top Bottom