MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 561
wana jf my sista yu ngonjwa ...dua zenu ...huu ugonjwa wa dengu ni hatari sana...mungu atunusuru aisee...toka asubuh mpka muda huu niko mwananyamala hosp...
wana jf my sista yu ngonjwa ...dua zenu ...huu ugonjwa wa dengu ni hatari sana...mungu atunusuru aisee...toka asubuh mpka muda huu niko mwananyamala hosp...
Pole ndugu. Mungu ni mwema atapona kwa jina la YESU KRISTO WA NAZARETH ALIYE HAI. Amen..!