Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Wasalaam
Kwa habari za kiitelejensia kutoka ndani ya halmashauri ya wilaya ya ngorongoro yenye makao makuu katika mji mdogo wa waso,loliondo imebainika ya kwamba MHASIBU MKUU WA WILAYA HIYO anatumia baadhi ya vyanzo vya mapato vya wilaya hiyo kama mtaji wa kujilimbikizia mali. Habari hii lmethibitishwa na mmoja wa watumishi wa halmashauri hiyo walipotembelea vyanzo vya mapato vya wilaya hiyo na kukuta wakusanya ushuru wa geti la Engarasero wakikusanya ushuru bila ya ledger book na orodha ya watozwa ushuru
Kwa habari za kiitelejensia kutoka ndani ya halmashauri ya wilaya ya ngorongoro yenye makao makuu katika mji mdogo wa waso,loliondo imebainika ya kwamba MHASIBU MKUU WA WILAYA HIYO anatumia baadhi ya vyanzo vya mapato vya wilaya hiyo kama mtaji wa kujilimbikizia mali. Habari hii lmethibitishwa na mmoja wa watumishi wa halmashauri hiyo walipotembelea vyanzo vya mapato vya wilaya hiyo na kukuta wakusanya ushuru wa geti la Engarasero wakikusanya ushuru bila ya ledger book na orodha ya watozwa ushuru