DStv wamepandisha bei kuanzia April 9 vifurushi vimepanda ile ya elfu 56 inakua elf ,66 premium kile kikubwa kitaakua 168000
Hvi ni kingamuzi gani napata Emmanuel TV vizuri na price poa nasikia ting iko poa Sana kwa wale wazoefu mtujuze.
Nadhani IPTV kwa sasa ni the best solution when it comes to TV. Kama unatumia net yenye uhakika, una notebook(laptop) basi unaweza kujifurahia kupata live streaming bila malipo yoyote ya mwezi.
Pia, kwa watumiaji wa smartphone unaweza kupakuwa apps zenye kujuwezesha kutazama live streaming na kupata kuona ligi yoyote duniani. Cha msingi ni internet ya uhakika na yenye spidi nzuri.