xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,320
- 4,696
Wakuu habarini.
Nimetoka mihangaikoni leo narudi nyumbani naweka miguu juu ya kochi nachukua remort controller nawasha TV nakutana na message hii (chini) kuonyesha kuna tatizo mitambo ya DSTV leo. Ni masaa matatu sasa na sioni dalili za kuona chochote?
Nyie DSTV, kwahiyo Tshs. 109,000/= yangu imepotea bure?
Nimetoka mihangaikoni leo narudi nyumbani naweka miguu juu ya kochi nachukua remort controller nawasha TV nakutana na message hii (chini) kuonyesha kuna tatizo mitambo ya DSTV leo. Ni masaa matatu sasa na sioni dalili za kuona chochote?
Nyie DSTV, kwahiyo Tshs. 109,000/= yangu imepotea bure?