kubwalamaadui
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 328
- 51
Yaani DSTV soon mtatokomea, mambo ya kuongeza bei za bundle kwa mwaka sijui mara ngapi. Mtapoteza wateja..
Kile kifurushi cha bei ndogo sasa ni 18,500/, hivyo vingine sivipatii picha.
Ngonja nikajitafutie kingamuzi changu cha startimes nilichoweka uvunguni
Kile kifurushi cha bei ndogo sasa ni 18,500/, hivyo vingine sivipatii picha.
Ngonja nikajitafutie kingamuzi changu cha startimes nilichoweka uvunguni