DSTV Pwaaa: Kuongeza bei za Bundle mara kwa mara mtapoteza wateja

DSTV Pwaaa: Kuongeza bei za Bundle mara kwa mara mtapoteza wateja

kubwalamaadui

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
328
Reaction score
51
Yaani DSTV soon mtatokomea, mambo ya kuongeza bei za bundle kwa mwaka sijui mara ngapi. Mtapoteza wateja..
Kile kifurushi cha bei ndogo sasa ni 18,500/, hivyo vingine sivipatii picha.

Ngonja nikajitafutie kingamuzi changu cha startimes nilichoweka uvunguni
 
Dstv tunakoendea tutakuwa tunaangalia tu zile channel zao za bure za Kichina maana ni Zaidi ya ubeberu huu.Tanzania pekee dstv ndio bei kubwa.
 
Tamu ni QSat bandle la 2000 kwenye line ya Tigo au mtandao wowote, tosha mwezi mzima. Channel zotee za DSTV zinapatikana

Mkuu inakuaje hiyo, tupe maujuzi ya jinsi ya kuipata kwenye masmartphone
 
yaani DSTV soon mtatokomea.mambo ya kuongeza bei za bundle kwa mwaka sijui mara ngapi..mtapoteza wateja..
kile kifurushi cha bei ndogo sasa ni 18,500/
hivyo vingine sivipatii picha.
ngonja nikajitafutie kingamuzi changu cha startimes nilichoweka uvunguni

Mkuu bei zao nadhan ziko constant tatizo ni sh yetu haueleweki sasa kama wanaitaji dolla unategemea tsh iwe palepale
 
yaani DSTV soon mtatokomea.mambo ya kuongeza bei za bundle kwa mwaka sijui mara ngapi..mtapoteza wateja..
kile kifurushi cha bei ndogo sasa ni 18,500/
hivyo vingine sivipatii picha.
ngonja nikajitafutie kingamuzi changu cha startimes nilichoweka uvunguni

Startimes? Mtu aliyezowea DSTV hana cha kuangalia huko 'ataboreka" tu!
 
Dstv wanachaji kwa dollar..tatizo TZS majanga. Yani hii kampuni imekosa mpinzani kabisa.
 
Vitu vizuri vina gharama zake jamani. We unataka kitu kizuri pesa hauna. Waachieni wenye pesa yale yanayohitaji pesa kubwa. Tumia kadri ya kipato chako.
 
Kama Shilling inazidi kuporomoka,mtanunua bundle kwa million.

Si mnachagua ma-handsome bhana.

Kaburu mnamlaumu bure.

Blame your dunderheaded officials.
 
na dolla imepandaaa tutakoma ubishii cha chini kitakuwa 200,000
 
Back
Top Bottom