DStv ni wezi wakubwa!

DStv ni wezi wakubwa!

Hawa jamaa ukipata shida yoyote na king'amuzi chao wanakuambia ufike kwenye ofisi zao, yaani mimi nitoke Mwanza nipeleke king'amuzi oysterbay Dar, huu si ungese!!
Halafu wizi wao mwingine kama hujakilipia king'amuzi chao kwa muda mrefu wanakizima kabisa, na kukiwasha wanakwambia lipia package kabisa, na ukilipia ndo wanakuambia king'amuzi chako hujakilipia muda mrefu hebu fika nacho hiko kisimbuzi ofisini.
Hivi mnashindwa kufanya auto update na visimbuzi vyenu?

Kwa kweli mmenichosha sana, nishanunua vitatu sasa, viwili vimeshakufa na hiki cha mwisho kinazingua kuwaka, wakati nshakilipia. Na kisipowaka hiki, ndo na dishi nalibadilisha uelekeo kabisa nanunua Azam kiroho safi.
Nilikuwa nawatetea sana hawa jamaa kumbe wana upuuzi mwingi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole bro,hii nchi hii kha!Nenda Daslamu upeleke hicho kidude..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni serikal ya magufuli. Najua huwez elewa haraka hivyo take time.

Si vingamuz tu hii ipo kila kona.

Mitandao ya sim imepandsha sana gharama za vifurush. Mfano tigo kifurush cha wiki ilikuwa 1500 Ila sasa Ni 3000.

Cement Imepanda bei, bati, yan kila kona. Kila kitu ukigusa bei imepanda.

Kupanda kwa bei ya vitu husababishw na makato ya kodi kuwa huu na makampun kujiendesha kw hasara. Sasa ili kumudu bisahara inawakazu kupandisha bei za huduma zao ili wasipate hasara, sasa hilo ndo hufanya makampun kupunguza gharama pia za kuwafikia wateja wao na badala yake wanakutaka wewe ndo uwafuate wao.

Serikal inahitak pesa kwa udi na uvumba kwa ajili ya mirad mikubwa iliyoanzish na inayo hitaj pesa ya kutosh. Serikal nayo haina pesa hivyo imeamua kuingia kwenye mifuko ya walala hoi kujipatia pesa.

Daa nimechoka kuandika mm, ila huwez kuwa hujaelewa

jiwe bwana
Hawa jamaa ukipata shida yoyote na king'amuzi chao wanakuambia ufike kwenye ofisi zao, yaani mimi nitoke Mwanza nipeleke king'amuzi oysterbay Dar, huu si ungese!!
Halafu wizi wao mwingine kama hujakilipia king'amuzi chao kwa muda mrefu wanakizima kabisa, na kukiwasha wanakwambia lipia package kabisa, na ukilipia ndo wanakuambia king'amuzi chako hujakilipia muda mrefu hebu fika nacho hiko kisimbuzi ofisini.
Hivi mnashindwa kufanya auto update na visimbuzi vyenu?

Kwa kweli mmenichosha sana, nishanunua vitatu sasa, viwili vimeshakufa na hiki cha mwisho kinazingua kuwaka, wakati nshakilipia. Na kisipowaka hiki, ndo na dishi nalibadilisha uelekeo kabisa nanunua Azam kiroho safi.
Nilikuwa nawatetea sana hawa jamaa kumbe wana upuuzi mwingi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo shida ya kununua ving'amuzi siku za promosheni. Unaangukia king'amuzi kisa kuna ofa then muda ukiisha unatakiwa sasa uanze kulipia bei halisi unashindwa unakitelekeza. Wakikizima unakuja jf kulia. Mzee baba tumlaumu aliezima mtambo wa analojia maana king'amuzi chochote hata huko azam unakoenda watahitaji tu ulipie hamna njia ya mkato
 
Hiki king'amuzi sio kwamba nilishindwa kukilipia wewe zuzu, kilikuwa ni cha kawaida yaani dsd 1110 nikanunua cha HD hivyo nikakiacha pending, baada ya hiki cha HD kufa nikakirudia cha zamani
Ndo shida ya kununua ving'amuzi siku za promosheni. Unaangukia king'amuzi kisa kuna ofa then muda ukiisha unatakiwa sasa uanze kulipia bei halisi unashindwa unakitelekeza. Wakikizima unakuja jf kulia. Mzee baba tumlaumu aliezima mtambo wa analojia maana king'amuzi chochote hata huko azam unakoenda watahitaji tu ulipie hamna njia ya mkato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo Mwanza kuna ofisi zao na wanatoa huduma vizuri nenda pale maeneo ya Samaki ulizia ofisi zao utapewa huduma vizuri mimi nilishafika hapo zaidi ya mara mbili nilibadilishiwa king'amzi kilikua na shida.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni bei gani kubadilisha decorder maana changu kina shida ikitokea umeme umekatika ukarudi basi kitascan weeeee 0 0 0 0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa ukipata shida yoyote na king'amuzi chao wanakuambia ufike kwenye ofisi zao, yaani mimi nitoke Mwanza nipeleke king'amuzi oysterbay Dar, huu si ungese!!
Halafu wizi wao mwingine kama hujakilipia king'amuzi chao kwa muda mrefu wanakizima kabisa, na kukiwasha wanakwambia lipia package kabisa, na ukilipia ndo wanakuambia king'amuzi chako hujakilipia muda mrefu hebu fika nacho hiko kisimbuzi ofisini.
Hivi mnashindwa kufanya auto update na visimbuzi vyenu?

Kwa kweli mmenichosha sana, nishanunua vitatu sasa, viwili vimeshakufa na hiki cha mwisho kinazingua kuwaka, wakati nshakilipia. Na kisipowaka hiki, ndo na dishi nalibadilisha uelekeo kabisa nanunua Azam kiroho safi.
Nilikuwa nawatetea sana hawa jamaa kumbe wana upuuzi mwingi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mkuu ukiwa unalipa kwa wakati hayo matatizo hayapo? Basi kama ni hivyo tii amri bila shurti hutajuta!
 
Kwenye ile message ya E-16 error hua kuna maelezo ya jinsi ya kuiondoa,sasa ukifata Yale maelezo kuna namba ya simu utatumiwa kwa njia ya text ,sasa utaweza wapigia

kuna mtu alinipa namba hii *150*46# halafu utafuata maelekezo kuondoa E-16
 
Mimi nimetumia dstv tangu 2006 nshanunua vitatu hadi sasa ila kimebaki kimoja tu, na hiko kimoja nishawahi kukipeleka osterbay ofisini kwao wakanilipisha dola 25 kubadilisha kifaa mule, wapumbavu sana, mi mbona naenda azam, sijaona kule watu wakilalamika

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe jamaa ni mcheshi tu au akili yako ni ndogo sana, ukiambiwa ufike ofsini ni ofisi yao iliyo karibu nawe sio hadi Oysterbay.... DsTV wana ofisi nyingi tu mikoani sasa wewe endelea kulialia kibwege na kusafiri hadi dasilamu.

Yaani ukalipie dola 25 kurekebisha kisimbuzi ambacho ungeweza kununua kipya kwa elfu 79..!!!!
 
Bado TCRA hawa na Mitandao ya cm vimewashinda
Azam unayo izungumzia ingia uone majanga yake
Nyumba usio lala...
Nina Dstv na Azam, nakuhakikishia bora kumiliki Azam kuliko Dstv haswa kama si mpenzi wa EPL.
Tofauti kubwa kati ya Dstv na Azam ni ligi kuu ya England tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumia DSTV mwaka wa nne sasa na sijawahi kupata shida yoyote, kwangu nawarate Dstv kama king'amuzi bora kabisa.

World of champions
Mimi huu mwaka wa 15 sijawahi kupata usumbufu wowote. Mtoa mada nadhani amerukia kitu ambacho hana uwezo nacho ukilipa kwa wakati huwezi pata usumbufu
 
Sema kuna ofa wametoa ya kijanja sana ukilipa kuanzia tarehe 15 mwez wa kwanza unapanda kifurushi cha juu yake ni ukajanja had mudaa huu kwangu hola
Hiyo offer ya kifurushi cha juu ukipewa utaangalia kwa mwezi mmoja? Baada ya huo mwezi mmoja unarudishwa automatically kwenye kifurushi chako cha zamani?
 
Back
Top Bottom