DSTV inafungwa kwa sh ngapi?


english wito jamani.
 
Gharama ya system nzima, dish, king'amuzi na accessories zake ni 150,000/-. Vifurushi vinaanzia elfu 20 (access), kabla ya hapo hii access ilikua 16,500. Kama utahitaji, nitumie namba yako kwa pm

Naomba namba yako,au unitumie kwenye PM.
 
Usimdanganye mwenzako local chanel kuna chanel 10, star tv na tbc

Ni kweli local channels ni hizo tatu ulizozitaja, lakini kama hujafanya malipo ya mwezi hakuna local channel hata moja ambayo utaiona. Labda kama hayo mabadiliko ya local channels kuwa free hata usipofanya malipo ya mwezi yameanza jana, otherwise huwezi ziona.
 
utapata CCTV pekee kama hujalipa access.
 
...samahani, hivi hawa DSTV wana vile ving'amuzi ambavyo unaweza chumbani ukawa unatazama channel nyingine na sebuleni wanaangalia nyingine? ile inakuwa bei gani,
 
Dstv set yaani dish,dekoda pamoja na cable ni 129000.hiyo ni pamoja na kufungiwa ila inategemea unaishi umbali gani kutoka ofc za Dstv au wakala aliye karibu .
Malipo inategemea na kifurushi'cha chini ni 17000 na juu ni 138000 kwa mwezi'
Kwa maelezo zaidi wasiliana na ofc za dstv 0222199600'au nipigie 0756147252
 

Uko Dstv be serious nipige
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…