SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,342
Na hapa EPL ndio huwa anakuwa babalaoAzam hawezi pata hii dstv hapo ndipo anapowakamatia watu pamoja na uefa huku kwingineko ashapaachia
Kupata rights za kuonyesha epl sio mchezo lazima wajipange kisje watokea kama kilichowatokea Gtv-sport wakafirisika kabisa
Leo hii supersport wanasign mikataba na makampuni makubwa kama ya espn,sky sport
Azam inabidi ajipange sana bado anasafari ndefu sana mpaka apate epl rights