Kitchener
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 13,823
- 27,695
Tafadhali, tumesikia tangazo kwamba mnataka kujenga mfumo wa reli kuzunguka DSM nzima, binafsi sijaelewa wanajenga mitaruma ya mireli ili tuwe na tram zinazotembea kwenye makokoto katikati ya mji au wanajenga mfumo wa trams kama nchi zingine.
Naomba kutoa tahadhari hii manake bongo kwa upigaji usijestuka wamekuwekea mataruma kama ya reli ya tazara katikati ya mji, manake kikubwa usafiri upo. ili kupendezesha mji na kuwa kisasa, tunaomba wekeni mfumo wa modern trams.
Tukiwa wakweli, hata hiyo SGR hadi dodoma, inarahisisha usafiri ila ukiweka na kwengine una ona kwetu bado ni SGR ya third world country. tuna kila kitu hatushindwi kujenga kitu bora. Mungu awasaidie. tunataka vitu kama ivi hapa.
Naomba kutoa tahadhari hii manake bongo kwa upigaji usijestuka wamekuwekea mataruma kama ya reli ya tazara katikati ya mji, manake kikubwa usafiri upo. ili kupendezesha mji na kuwa kisasa, tunaomba wekeni mfumo wa modern trams.
Tukiwa wakweli, hata hiyo SGR hadi dodoma, inarahisisha usafiri ila ukiweka na kwengine una ona kwetu bado ni SGR ya third world country. tuna kila kitu hatushindwi kujenga kitu bora. Mungu awasaidie. tunataka vitu kama ivi hapa.