Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,650
- 11,236
Jamani weekend ndo hiyo,leo mi naenda WHITE HOUSE KIMARA ndo nitajipooza huko wewe je wapi?
Jamani weekend ndo hiyo,leo mi naenda WHITE HOUSE KIMARA ndo nitajipooza huko wewe je wapi?
Hilo jina nimelikubali,wadau wengine vipinitakuwa pale shikamoo pesa sinza
Mkuu hiyo CALABASH ipo pande zpi?Nitakua Pale pa sikuzote panaitwa Simba Kapakatwa, nikitoka hapo naenda Brajec nikitoka hapo naenda kwa Mama Kamche pale Opposite na Kanisa la Kakobe na baada ya hapo najivuta mdogo mdogo hadi pale Calabash natafuta kadenti kanakojiuza naondoka zangu maana shemeji/wifi yenu hayupo...msinisemee lakini
Mkuu hiyo CALABASH ipo pande zpi?
Mkuu hiyo CALABASH ipo pande zpi?
Dah!!! Watu mna hesabu za mbali kweli. Haya bwana. Mie ntakuwa mitaa ya Tmk na ntamalizia Royal Giraffe pale Sudani kuna ladies nite
duh mkuu nipe ratiba za hapo royal maana huwa nnapasikia, kama vipi tukutane copa kabana(tabata) na baadae swiss pub
Tukutane SIMBA KAPAKATWA bar! (samahani kwa wanamsimbazi lakini)
Mkuu hiyo CALABASH ipo pande zpi?