greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,763
- 3,226
Ushawahi kujiuliza ipi ni kampuni kubwa hapa nchini...?
Japo msemo "Kampuni kubwa ni tungo tata" lakini mara nyingi huangazia ukubwa wa Thamani ya kampuni katika soko la hisa
Thamani ya Kampuni/Market value hupatikana kwa kuzidisha idadi ya hisazilizopo sokoni za kampuni husika kwa bei ya hisa moja moja.
yaani,
Thamani = idadi ya hisa X bei ya hisa
Hii nayo imekuwa moja ya kivutio kikubwa cha kuwafanya watu wawekeze katika kampuni flani.
Ifuatayo ni taaarifa fupi ya Thamaniza kampuni katika soko la hisa la DSE kw mwaka 2020 hadi 2024
Japo msemo "Kampuni kubwa ni tungo tata" lakini mara nyingi huangazia ukubwa wa Thamani ya kampuni katika soko la hisa
Thamani ya Kampuni/Market value hupatikana kwa kuzidisha idadi ya hisazilizopo sokoni za kampuni husika kwa bei ya hisa moja moja.
yaani,
Thamani = idadi ya hisa X bei ya hisa
Hii nayo imekuwa moja ya kivutio kikubwa cha kuwafanya watu wawekeze katika kampuni flani.
Ifuatayo ni taaarifa fupi ya Thamaniza kampuni katika soko la hisa la DSE kw mwaka 2020 hadi 2024
2020
2021
2022
2023
2024
nimepunguza ,000 kwa ajili ya urahisi wa kuwasilisha taarifa kwenye Graph
2022
2023
2024
nimepunguza ,000 kwa ajili ya urahisi wa kuwasilisha taarifa kwenye Graph