Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 2,287
- 4,502
Mimi langu hili hapa.😁
👍🏻👍🏻👍🏻 Freshupumbavu tu
😂😂😂Nilisha logwa mimi....🙄
Nidhamu tafadhali kiongoziPeleka upuuzi wako Facebook
Hiyo kwenye jagi ni juice numbi...?
Hiyo kwenye jagi ni juice numbi...?
Haha hili geto nimelipenda, japo haifai uishi mwenyewe humo...Haa upo fasta ushakagua geto lote😂😂😂 ee zile juisi cola
Haha hili geto nimelipenda, japo haifai uishi mwenyewe humo...
Nikaribishe niwe nakusaidia hata kujaza maji kwa hizo ndoo numbi...
Pamban upafanye pawe pa zuri
ila kuna nini...?😅Hilo geto nimekaribishwa tu na mjaza maji tena keshasema wazi hakuna cha 50/50.
Mbona kama langu
Geto ndio nini kijana??
Kwa jinsi nilivyoweka hovyo vito vyangu, siwezi kupiga picha. Mtaniroga wanga nyie.Chumba unacholala
ila kuna nini...?😅