Droo ya UEFA Europa nusu fainali: Shakthar v Sevilla, Villareal v Liverpool

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,296
ndio hivyo wadau
Mechi zote mbili zitachezwa tarehe 28 Aprili na marudiano yatafanyika tarehe 5 Mei
Fainali itafanyika tarehe 18 Mei jijini Basel Uswisi
 
...hili kombe lilikuwa la Dortmund,wamezembea,nadhani sasa litakwenda kwa Sevilla...duh,sijui itakuwa mara ya ngapi Sevilla kulichukua?!

Nikweri hili kombe lirikua liende Dotmund, warifanya upumbav sana. I think linakwenda sevilla or Villa real
 
...hili kombe lilikuwa la Dortmund,wamezembea,nadhani sasa litakwenda kwa Sevilla...duh,sijui itakuwa mara ya ngapi Sevilla kulichukua?!

Dah nimecheki mkuu, siamini kilichomtokea Dort yani huo ushindi ulikuwa wake! Basi tu walidharau wakaona hawezi rudisha
 
Ligi ya spain ina timu 2 nusu fainali ya Uefa, ina timu 2 nusu fainali ya europa, kwa miaka ya karibuni hii imekuwa kawaida, halafu bado utakuta watu wanabisha eti epl ndio ligi bora spain ni timu mbili tu ndio nzuri!!!??....
 
...hili kombe lilikuwa la Dortmund,wamezembea,nadhani sasa litakwenda kwa Sevilla...duh,sijui itakuwa mara ya ngapi Sevilla kulichukua?!
Wakuu anaemfunga bingwa si ndie anapaswa kuwa bingwa au? Ni wivu kwa Liverpool au nini? Mi nadhani kama mmekiri Dortmund ndie aliekua anastahili na ametolewa na Liverpool kwa mpira mwingi kiasi kile basi Liverpool ndo anastahili vinginevyo mfute kauli ya kuwa Dortmund alikua anastahili na mseme kila mtu anastahili...
By the way sio kwamba Dortmund walizembea semeni walizidiwa kama walizembea wasingepata zile goli tatu.......na hata hivyo kwani walikua hawaoni zilivyokua zinarudi? Vipi wakubali kuzembea na wanaona goli zinarudi tu? The fact is walizidiwa ndio maana wakakubali zirudi na wafungwe...
Jifunzeni kutoa compliments kwa wengine hata kama hamuwapendi......#YNWA
Nikweri hili kombe lirikua liende Dotmund, warifanya upumbav sana. I think linakwenda sevilla or Villa real
 
Wakuu anaemfunga bingwa si ndie anapaswa kuwa bingwa au? Ni wivu kwa Liverpool au nini? Mi nadhani kama mmekiri Dortmund ndie aliekua anastahili na ametolewa na Liverpool kwa mpira mwingi kiasi kile basi Liverpool ndo anastahili vinginevyo mfute kauli ya kuwa Dortmund alikua anastahili na mseme kila mtu anastahili...
By the way sio kwamba Dortmund walizembea semeni walizidiwa kama walizembea wasingepata zile goli tatu.......na hata hivyo kwani walikua hawaoni zilivyokua zinarudi? Vipi wakubali kuzembea na wanaona goli zinarudi tu? The fact is walizidiwa ndio maana wakakubali zirudi na wafungwe...
Jifunzeni kutoa compliments kwa wengine hata kama hamuwapendi......#YNWA

Wewe acha kupayuka check possecion ilikuwa inaonyesha vipi? Kwanza Kafika kibahati-bahati mno...na kwa taarifa yako tu hii ndoo ndoo inaenda spain
 
ndio hivyo wadau
Mechi zote mbili zitachezwa tarehe 28 Aprili na marudiano yatafanyika tarehe 5 Mei
Fainali itafanyika tarehe 18 Mei jijini Basel Uswisi
hili kombe litakuwa la liverpool.
 
Back
Top Bottom