tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 19,984
- 25,224
Man anawachinja hawaman u na celta vigo
hehehehe, kipimo tosha kabsa hiko
Man anawachinja hawaman u na celta vigo
hehehehe, kipimo tosha kabsa hiko
Ni maoni yangu tu, haya na weye ungefaidika na nn Samata kucheza na Man uWivu kitu kibaya sana. Haya umefaidika na nini sasa?
Hahahahahahahaya wale ambao timu zenu zilitoka karibuni mtuangalie hapa wenzenu 'the elites' tuna endelea na mashindano .
muda wa kukodi timu ndio huu.
haaahaaahh wakimataifa,kuna wakati man united hawakeri kama arsenalWakimataifa hao
kuna lile fuso limefunga injini ya bajaji kila msimu utasikia top four ili waende champions league kutalii naskia huwa furaha yao kupiga picha na messiAhahaha chama hiloo mkuu..record yetu england inaongea yenyewe,ulaya nzima wanaijua
kwa maoni yangu naona England ni ligi ngumu wenye mashindano mengi na hakuna timu kubwa wala ndogo,inahitaji nguvu myimgi na akili nyingi kushinda taji lolote tofauti na spain soccer huwa naliona too smooth kuna match za kukaza ila nyingi zilizo baki ni mpira wa kurelux pia wanamashindano pungufu zaidi ya england..wabobezi wata nikosoa piaYani karibia nusu ya timu zilizo ingia UCL na Europa league zinatoka Spain na hata misimu mingi iliyopita hii inaashiria nini katika soka la ulaya ngazi ya vilabu??????
tu bet mkuu..mimi final ni Juve vs atlecticoFinal ni R.madrid na Monaco
Kuwa na imani!Timu yetu nayo ni homa ya vipindi
sa una ligi ngumu halaf kwe mashndano ya kmataifa unaburuzwa na wa ligi lain maazna yake nn?kwa maoni yangu naona England ni ligi ngumu wenye mashindano mengi na hakuna timu kubwa wala ndogo,inahitaji nguvu myimgi na akili nyingi kushinda taji lolote tofauti na spain soccer huwa naliona too smooth kuna match za kukaza ila nyingi zilizo baki ni mpira wa kurelux pia wanamashindano pungufu zaidi ya england..wabobezi wata nikosoa pia
Mkuu INA maana hilo ulilosema ndo sababu inayosababisha timu za Spain zinatamba soka la ulaya hasa Uefa champions league na Europa league kuliko zile za Uingereza??????kwa maoni yangu naona England ni ligi ngumu wenye mashindano mengi na hakuna timu kubwa wala ndogo,inahitaji nguvu myimgi na akili nyingi kushinda taji lolote tofauti na spain soccer huwa naliona too smooth kuna match za kukaza ila nyingi zilizo baki ni mpira wa kurelux pia wanamashindano pungufu zaidi ya england..wabobezi wata nikosoa pia
Ahahahaa asingefaidika kitu ila kam angetupia kiasi flani angeitangaza tanzania..tanzania kisoka bado saanaNi maoni yangu tu, haya na weye ungefaidika na nn Samata kucheza na Man u
Tatizo tukimtimua babu, huko anakokwenda atapata vikombe!kuendelea kumkumbatia Wenger
Asante kwa kulijua hilo, unekiri kama kisoka badoAhahahaa asingefaidika kitu ila kam angetupia kiasi flani angeitangaza tanzania..tanzania kisoka bado saana