Jamani ivi wapi ntapata chuo kizuri kwa kujifunza driving here in DAR.
na pamoja na kupata driving license class E or D,it will cost how much and it will take how long.
mkuu wangu..., si inategemea na location uliyopo! au?coz vyuo vya udereva vimetapakaa jiji zima! Bt kama unataka the quality one,nenda VETA pale utatoka ukiwa umeiva haswaaa.. Shule njema mkuu wangu...,hopefully utakua driver mzuri mwenye kuzingatia sheria zote za road...
mkuu kama unataka kusoma achana na issue ya leseni, utakapo maliza ndio utajua utapata daraja gani, ushauri tu uende VETA sababu hautasumbuka wakati wa kupata leseni
Mkuu nenda CITY Driving school wana matawi Shekilango, Mbezi ya Tegeta, na ubungo external. Hawa wamesajiliwa na VETA. Wanafundisha kwa wiki 4 na ada yao ni laki moja na sabini.
Mkuu nenda CITY Driving school wana matawi Shekilango, Mbezi ya Tegeta, na ubungo external. Hawa wamesajiliwa na VETA. Wanafundisha kwa wiki 4 na ada yao ni laki moja na sabini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.