Tangaza bei mkuu minimum sh. Ngapi?Order sasa full system ya umwagiliaji kwa bei poa ya promotion
-Solar water pump yenye controller
-Drip Irrigation System
-Water Tank
Contact:- +255 688 105 073/ +255 757 065 007.
Naomba kujua je hii system ni pamoja na kuchimbiwa kisima au?? Na hii pump ya solar ni kwa futi ngapi? Na kit inauzwa kiasi gani?Order sasa full system ya umwagiliaji kwa bei poa ya promotion
-Solar water pump yenye controller
-Drip Irrigation System
-Water Tank
Contact:- +255 688 105 073/ +255 757 065 007.
Jamani mita 15 pump ya solar 3.7 milioni.Drip Irrigation Kit ni ina range kuanzia TShs 2.0-2.4 Mil kwa ekari kutegemea shamba lilivyo na urefu kutoka kwenye Tank lako.
Solar Water Pump ni kuanzia 3.7Mil na kuendelea hii ni kutokana na nyaya connection kulingana na umbali wa kisima,sehemu ya kuweka Solar na Tank la maji lilipo.
Capacity ni 12600liter/day katika urefu wa kisima cha mita 15.
Kisima hatuchimbi kwa sasa ila tunatoa ushauri wa njia za uchimbaji kisima ambazo niza kawaida.
Jamani mita 15 pump ya solar 3.7 milioni.
Tuone aibu.
Wakati nimekuta pump pamoja na panel plate zake za solar mita 120 inauzwa dirham 5000 sawa na miloni 3 laki 4 za bongo. Usafili hadi bongo dola 300. Nimeulizia ushuru ni kati ya dola 250.
Sasa mwenzetu. Mita 15.
Nisiharibu biashara za watu