Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,201
Kituo cha Tv cha Tv1 kimeripoti kua nchi ya Congo imeanza teknolojia ya kutumia Robot kuongoza watumiaji wa barabara nchini humo,
Mpango huo umeonyesha mafanikio makubwa ya kupunguza foleni na uvunjifu wa sheria za barabarani kwani marobot yameunganishwa na mfumo wa electronic unaowanasa wanaokiuka sheria za barabarani.
JE kwetu Tanzania tuna mipango gani.
Mpango huo umeonyesha mafanikio makubwa ya kupunguza foleni na uvunjifu wa sheria za barabarani kwani marobot yameunganishwa na mfumo wa electronic unaowanasa wanaokiuka sheria za barabarani.
JE kwetu Tanzania tuna mipango gani.