VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Baada ya kukamatwa kwa Uviru, M23 inaendelea na safari.
Siku ya jana, eneo lijulikanalo kama Mboko, lililopo umbali wa km 56bkutoka Uvira, liliangukia mikononi mwa kundi hilo la M23.
Inasemekana, kabla ya kuwaza kwenda Katanga, ambayo ndo kitovu cha uchumi w nchi, na ndo ilipo migodi ya raisi na familia yake, na watu wake wa karibu, wanataka kuhakikisha mipaka yote ya DRC wanayo wao.
Pichani, ni gereza la Kalemie, lililowashwa moto na wafungwa baada ya milio ya risasi kuanza, huku walinzi wakivua sale zao na kuanza kukimbia.
Taarifa zaidi zitawafikia kila hatua itakayokuwa ikipigwa.
Wakati huo, inasemekana ndege za kivita, asubuhi ya leo, zimetoka Burundi na kurusha makombola katika kambi ya Banyamulenge huko Minembwe.
Siku ya jana, eneo lijulikanalo kama Mboko, lililopo umbali wa km 56bkutoka Uvira, liliangukia mikononi mwa kundi hilo la M23.
Inasemekana, kabla ya kuwaza kwenda Katanga, ambayo ndo kitovu cha uchumi w nchi, na ndo ilipo migodi ya raisi na familia yake, na watu wake wa karibu, wanataka kuhakikisha mipaka yote ya DRC wanayo wao.
Pichani, ni gereza la Kalemie, lililowashwa moto na wafungwa baada ya milio ya risasi kuanza, huku walinzi wakivua sale zao na kuanza kukimbia.
Taarifa zaidi zitawafikia kila hatua itakayokuwa ikipigwa.
Wakati huo, inasemekana ndege za kivita, asubuhi ya leo, zimetoka Burundi na kurusha makombola katika kambi ya Banyamulenge huko Minembwe.