DRC Congo na Rwanda Kusaini Mkataba wa amani leo

DRC Congo na Rwanda Kusaini Mkataba wa amani leo

Nimeona jana foreign ministers wa nchi zote mbili jana wakipewa coins mbili mbili na mwandishi toka Africa, target ya USA ni madini Congo sijaona kipya
Ndio maana watanzania tunahimizwa kutunza na kuenzi amani tuliyonayo kwa gharama yeyote Ili amani iwepo

Amani Ikivurugika au kupotea gharama ya kuirudisha ni kubwa mno
 
Inapendeza...

Cc: Mahondaw
Tanzania tukomae hasa kulinda amani yetu
Kipau mbele chetu cha kwanza iwe amani ya nchi sio demokrasia wala domokrasia wala uchumi wala uhuru wa mawazo

Kipaumbele chetu cha kwanza iwe amani ya nchi tu

Na hayo mengine yote hustawi kwenye nchi yenye amani

Tusikubali yeyote ageuze Kipaumbele cha kwanza kiwe zaidi ya amani

Kila mtu na kila chama na taasisi za kijamii za ndani na nje watuelewe hivyo kuwa kipau mbele chetu cha kwanza ni amani kuwa ukileta za kuleta ukaonyesha kuna ka kitu ka kuvunja amani lazima mtu ajambishwe cheche makalio yake yawake moto.Shenzi type.

Vyombo vya dola kipau mbele cha kwanza Tanzania ni amani kila yeyote a opetate kwenye hiyo framework .Nje ya hapo lazima aonyeshwe cha mtema kuni
 
Back
Top Bottom