Kwasasa nipo kigamboni. ..kuna watu Kama akina juma mchafu ,jet leee hawa wote mabingwa Wa draft kwa hapa Tanzania lakin wakisikia jina la MAKOTI wananiogopa na watajificha siku hiyo wakiambiwa nimefika hicho kijiwe.... Ntafute Mimi Ni bingwa Wa mabingwa... Ukicheza kete moja tuuu nakupa matokeo ya mwisho
Sent using
Jamii Forums mobile app