Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 354
Huwa natembelea mara nyingi ktk ukurasa wa Dr.Slaa ktk mtandao wa kijamii wa twitter, leo(samahani niko via mobile hivyo siwezi kuleta LINK) amekuja na ujumbe huu.
"Maendeleo hayaletwi kwa kubahatisha, bali huletwa na mabadiliko, wewe na mimi(sisi) ndo tunaotakiwa kuleta mabadiliko"(nimeitafisiri kwa kiswahili, mtaniwia radhi kama nitakuwa nimepotosha). Je Mtanzania mwenzangu uko tayari kuleta mabadiliko? Umepigika na maisha magumu?
Umechoka kubambikiwa kesi, kuuwawa na kuonewa na jeshi la polisi?, umechoka kuona mhimili wa dola(mahakama) inatumikia serikali, kupendelea wenye pesa ktk maamuzi?, umechoka kuona bunge letu likigeuka taasisi ya CCM?, uko tayari kuona wachache wakivuna rasilimali za Taifa huku wengi tukiteseka kwa umasikini wa kutupwa?
Je umeridhika kuona hali ya elimu ya vijana wetu ilivyo sasa(unaweza kushindwa kutofautisha vijana waliomaliza kidato cha 4 na yule wa drs V11)? Nawasilisha!!!!!!
"Maendeleo hayaletwi kwa kubahatisha, bali huletwa na mabadiliko, wewe na mimi(sisi) ndo tunaotakiwa kuleta mabadiliko"(nimeitafisiri kwa kiswahili, mtaniwia radhi kama nitakuwa nimepotosha). Je Mtanzania mwenzangu uko tayari kuleta mabadiliko? Umepigika na maisha magumu?
Umechoka kubambikiwa kesi, kuuwawa na kuonewa na jeshi la polisi?, umechoka kuona mhimili wa dola(mahakama) inatumikia serikali, kupendelea wenye pesa ktk maamuzi?, umechoka kuona bunge letu likigeuka taasisi ya CCM?, uko tayari kuona wachache wakivuna rasilimali za Taifa huku wengi tukiteseka kwa umasikini wa kutupwa?
Je umeridhika kuona hali ya elimu ya vijana wetu ilivyo sasa(unaweza kushindwa kutofautisha vijana waliomaliza kidato cha 4 na yule wa drs V11)? Nawasilisha!!!!!!