Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

Ana wakati mgumu,sio Rahisi kihivyo,tusubiri atakaeteuliwa na CCM,Kama ni Membe,kazi ni nyepesi,kama magufuli,kazi ni pevu.
 

Tanzania haiongozwi na Shahada za DINI.
 
Ana wakati mgumu,sio Rahisi kihivyo,tusubiri atakaeteuliwa na CCM,Kama ni Membe,kazi ni nyepesi,kama magufuli,kazi ni pevu.

..hata Magufuli ni mwepesi kutokana na kashfa inayomkabili ya kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa.

..pia ana kashfa nyingine ya kukaidi ushauri wa wanasheria na kuamuru kuvunjwa kwa kituo cha mafuta mwanza. Kesi ilipopelekwa mahakamani ikaamuliwa serikali ilipe sh. Billion 14.

..tatizo lake lingine ni mropokaji. Kwa mfano aliwahi kwenda Kenya na kumpigia kampeni Raila Odinga. Magufuli alidai angekuwa na uwezo angemuachia Raila aongoze jimbo la Chato!!
 
Sipati picha siku J.M. Kikwewe anatoka kwenye kiti na kukaa .Dr. W. P. Slaa
 
habari njema kwa watanzania
 
Last edited by a moderator:
Mambo gani yameiva mkuu; fafanua.
niliogopa ku-pre empty hii kitu
 
Last edited by a moderator:
Mbona CV imeacha mambo kadhaa tuanyoyajua

1. Alifukuzwa seminari

2. Aliingilia ndoa ya mtu, na huyo mke wake alitelekeza watoto wake mwenyewe akahamia kwa huyu mzee. Kesi ilikuwa ifunguliwe mahakamani ikazimwa kwa mazingira ya kumalizana wao kimya kimya?
 
Dr Slaa ndiye rais wetu ajaye.Nimefurahi sana mnara wa babeli kuanguka
 
Maesabu ya UKAWA yameenda vizuri sana kwani imewaondolea uwezekano wa watu wa LUMUMBA kuwapenyezea virusi wakati wa mchakato wa kutafuta Mwali wao, kweli walikua makuni.
 
Mmmmmmmmmmm CCM wamecheza karata dume kumuweka Magufuli pale. Ni vigumu kwa upinzani kutwaa uraisi.
 
Hata wapinzani watampa Magufuli uraisi jamani si kwelieeee
 
Wapinzani tupooooooo. CCM wameshamaliza game. Jamani wametuuuwa Ila kwa kuwa Tanzania ni moja basi si shida kama tukapata magufuli
 
Ccm imeshapasuka hata kama wamefany reconciliation na kumuangusha Membe ili Lowassa apate ahueni ukawa pigeni haya magamba
 
Frankly speaking 2015, UKAWA watapita kwa asilimia 71 urais, asilimia 68 ubunge na udiwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…