Mambo 9 Kuhusu Dr.Wilbroad Slaa
1. Anachokisimamia
Dk Slaa anasimamia maadili, uadilifu, umakini na uwajibikaji katika uongozi wa nchi na utendaji serikalini.
Dk. Slaa anaamini kuwa Watanzania wanaweza kuleta mabadiliko wanayoyataka wakipata uongozi bora na thabiti..
...Kwa mtizamo wangu dr.slaa hana maadili na sio muadilifu na haaminiki..angekuwa muadilifu na mwaminifu asingelisaliti kanisa katoliki.