Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

We ndo mwenye majibu mi nimeshauliza swali.
Leta maelezo kama unayo au kama na we una maswali basi weka wazi wenye majibu wayalete.
pamoja na kuonyesha wazi kuwa unaleta ubishi,nitakujibu!!List of Shame ni moja kati ya mambo ya kijasiri aliyowahi kuyafanya Dr.Slaa.Ujasiri kumzidi amiri jeshi mkuu.Yeye na Chadema waliwaweka wazi majina ya mafisadi.Hoja ya ufisadi na uadilifu ni hoja ambayo Dr.Slaa amekuwa akiisimamia.Nimeweka hili hapa kama ushahidi wa hoja na mambo makubwa ambayo Dr.Slaa amekuwa akisimamia.Huwezi kutenganisha List of Shame na Dr.Slaa
 
Sasa kama huu uzi unamhusu Dr Slaa hiyo list of shame inahusika vipi na Dr Slaa?
yanii upo Jf alafu haujui jambo dogo kama hilo alafu na wewe unajiita GT kweliii.....yani haujui maana ya list of shame kuhusishwa na DR Slaa.....maana yake ni hivi sasa, ni mtu ambaye anachukia mafisadi siyo kwa maneno bali kwa vitendo...niambie tangu uzaliwe umewahi kuona nani anamkemea rais aliyepo,rais mstaafu na mawaziri wakuu kuwa ni mafisadi papa alafu hawajampeleka mahakamani mpaka kesho?????
 
mkuu huyo kagoma kuelewa itakuwa aidha ananufaika na mfumo huu wakidhalimu au yeye ndo fisadi yumo kwenye hiyo list of shame...maana humu si tunatumia ID fake...isikute unamjibu fisadi mamba au kiboko
 
Dr.Slaa asingekuwa disaster kwa CCM na mafisadi wasingehangaika kumuwekea sumu na vinasa sauti
 
kaka mbona unatoa povu jingi bila sababu za msingi?? waache watanzania wamjadili Rais wao ajaye.

Kama mmeshindwa kuwapatia majibu watanzania hata juu ya umaskini wao tu, hivi nyie ni wa kuwaamini tena?
 
kaka mbona unatoa povu jingi bila sababu za msingi?? waache watanzania wamjadili Rais wao ajaye.

Kama mmeshindwa kuwapatia majibu watanzania hata juu ya umaskini wao tu, hivi nyie ni wa kuwaamini tena?

Lasima awe mkali kwasababu hiyo listing ya mafisadi ukitaja sasa nikutonesha kidonda wakati wanatajwa watanzania walikuwa hawajaelewa ila sasahivi wengi waliotajwa wengine wameshitakiwa mahakamani wengine wamefukuzwa Kwa ufisadi sasahivi ushuhuda unanguvu sana
 
Dr slaa ndie Rais 2015~2020 waandae mabom na marisasi yao Rais ni Dr. Slaa.
 
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk
Willibrod Slaa ameanza ziara ya
siku nane barani Ulaya ambako
atashiriki mijadala kuhusu hali ya
demokrasia na kukutana na jopo
la wataalamu wa masuala ya
uchumi kwa lengo la
kubadilishana uzoefu katika
kupata mifumo sahihi na
kujenga taasisi za kusaidia
uwajibikaji na kusukuma
maendeleo ya watu.
Katika ziara hiyo ya tatu baada ya
mbili alizofanya Marekani, Dk Slaa
anatarajiwa kukutana na kufanya
mazungumzo na viongozi
mbalimbali wa Umoja wa Ulaya
(EU) kuhusu hali ya demokrasia,
utawala bora na hali ya haki za
binadamu nchini hasa kwa
kipindi hiki ambacho Watanzania
wanaelekea kwenye Uchaguzi
Mkuu.
 
WanaJF tunaendelea kumshawishi Dr.Slaa agombee urais
 
 

Mkuu upo sahihi kabisa...nilidhani ni mimi mwenyewe kumbe ni wengi wameshashtukia hii mbinu ya MAGAMBA wengi kutangaza nia mwaka huu...haki ya nani uchaguzi 2015 imekula kwao
 
Huyu ndiye rais anayesubiriwa kwa hamu na watanzania.
 

Mkuu usipanic relax tuu..maana comment yako inaonyesha kama umeshikwa pabaya!
 
Last edited by a moderator:
kelele za chura......machozi ya samaki.....mbio za panya....na urais kwa chadema utaishia midomoni na kwenye maandamano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…