certified mdokozi
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 1,403
- 809
Mtu anakutwanga risasi alaf anajisalimisha polisi ikifikia hapa ....Unaweza ona ni maudhi kiasi gan mtu alikuwa nayo
Mtu kama huyo unaweza kumwambia na yeye akafanye mahojiano anavyoona inafaa.Anàjaribu kunogesha habari kwa kuweka mbwembwe,
BASHITE designChanzo kikuu cha kuuwa kwake ni kudhihaki makaburi ya mababu zake na kusema "Humu ndimo mlipozika mirija yenu"? Alifanya hivyo huku akionyesha makaburi yake kwa fimbo yake aliyoshika mkononi.
Ndipo Mwamwindi akaongozana na Kreuu huku akificha hasira zake mpaka nyumbani kumbuka alimkuta shambani akilima siku ya siku kuu, alipofika nyumbani akamwacha Dr nje akaenda ndani akachukua bunduki na kumtwanga nayo.
Kwa kifupi huyu RC alikuwa ana kihere here na dharau sana na hivyo ilitokea kuchukiwa na watu wengi.
Mtu kama huyo unaweza kumwambia na yeye akafanye mahojiano anavyoona inafaa.
Mtu kajitahidi kufanya mahojiano haya, hatujui hata kama ana training ya uandishi au ni hobby tu, hatujalipia, amekuwa mstari wa mbele kutafuta fist sources na kuweka habari ipatikane for posterity.
Bado unakuwa na mbwembwe za kumsema vibaya?
Mtu asiye na shukurani kama huyu anayekosoa vitu ambavyo hata hawezi kuvielezea unaweza kumkuta anakufa kwa njaa, ukampa chakula umuokoe, akakushutumu hujampa pilau la iliki na amdalasini ya Bara Hindi!
Maggid's account is hardly Mr. McCullough's caliber Puliter prize worthy work, but at keast he wrote something usingfirst sources and challenged others to do so.
Let us appreciate that at the very least.
And if there are shortcomings in his writings, surpass it.
Magidi ni Muandishi na Mtangazaji namfahamu. Stori iko vizuri sana, katika jamii hawakosekani wabezaji, hata kwa jambo jema. Tuwasamehe.Mtu kama huyo unaweza kumwambia na yeye akafanye mahojiano anavyoona inafaa.
Mtu kajitahidi kufanya mahojiano haya, hatujui hata kama ana training ya uandishi au ni hobby tu, hatujalipia, amekuwa mstari wa mbele kutafuta fist sources na kuweka habari ipatikane for posterity.
Bado unakuwa na mbwembwe za kumsema vibaya?
Mtu asiye na shukurani kama huyu anayekosoa vitu ambavyo hata hawezi kuvielezea unaweza kumkuta anakufa kwa njaa, ukampa chakula umuokoe, akakushutumu hujampa pilau la iliki na amdalasini ya Bara Hindi!
Maggid's account is hardly Mr. McCullough's caliber Puliter prize worthy work, but at keast he wrote something usingfirst sources and challenged others to do so.
Let us appreciate that at the very least.
And if there are shortcomings in his writings, surpass it.
Maggid alikuwa na utashi na mambo ya media muda mrefu.Magidi ni Muandishi na Mtangazaji namfahamu. Stori iko vizuri sana, katika jamii hawakosekani wabezaji, hata kwa jambo jema. Tuwasamehe.
Ni kweli mkuuKutusha watu ili yasijitokeze tena ya Mwamwindi a.k.a The Game Changer
Exclusive at JFBujibuji asante.naweza ipata wapi hii,zaidi ya hapa jf?
Amani MwamwindiBujibuji mwendelezo vipi? Ulisema itaendelea kesho na leo ni siku ya 3 naona kimya
Udaku huoUtata: Kuna Mzee Wa Iringa Nilikuwa Nafanyanae Kazi Alinisimulia Kuwa Mzee Mwamwindi Alimkuta Rc Kleruu Nyumbani Kwa Mke Wake (ALIMFUMANIA) Kwa Hasira Kali Akamtwanga Risasi Kisha Akaupeleka Mwili Wa Rc Kleruu Polisi
kumbe Said Mwamwindi alinyongwa then?Yulee n mtt wake kabsa had sku ananyongwa alikwenda kumuaga dom kisanga