Kama kuna mashujaa wa karne ya 21 slaa ni nambari one. Kwa yote yaliyotokea tanzania hii kwa mwaka huu 2010 uchaguzi slaa umebadilisha uipepo wa kiasiasa tanzania hii haijawahi kutokea. Hatujui ilikuwaje lakini watu walikuwa na ari ya kutisha kwenye chaguzi hii. Hatutakusahau kamwe wilbroad peter slaa umetulisha kitu ambacho hatujawahi kulishwa kwenye chaguzi zote zilizofanyika tanzania hii na ccm wanalijua hili kama ingekuwa katiba hii inarusu kupewa shafu serikalini you deserve it. Utaendelea kuwepo mioyoni mwa watanzania na tutakuwa nawe daima mpk mwaka 2015.tunaomba mungu atupe uhai sote tuione hiyo 2015.
Ninachosisitiza ni kuwa kilichobaki ni kuimarisha chama na kuhakikisha hakuna migogoro ya kipumbavu kutokea wakati huu maana tumeshuhudia vyama vingi vinapoteza matumaini baada ya uchaguzi ila kwa chadema hatutaki hili litokee kama wakati wa nccr mageuzi. Mapambano yanaendelea hata nje ya uchaguzi.
Mungu ibariki tanzania
mungu ibariki afrika