Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
Kutokana na hali ya matokeo mpaka sasa ya UBUNGE nadiriki kutamka kuwa Dr. Slaa anastahili kuitwa SHUJAA wa KARNE HII YA 21.
Amechangia sana kwa ushindi wa majimbo ya ubunge ambayo CHADEMA wamepata mpaka sasa.
Ni matumaini yangu kuwa Yeye ndiye Rais Wetu Ajae.
Amechangia sana kwa ushindi wa majimbo ya ubunge ambayo CHADEMA wamepata mpaka sasa.
Ni matumaini yangu kuwa Yeye ndiye Rais Wetu Ajae.