Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Na mie nimemwona mwana
tuhabarishe mkubwa!!!
pM asipoteze muda wake kuhoji imekuwaje DR akapata kipindi kutokwa kwa RA ila ujumbe wa Dr ameuelewa? hii ni kwasababu ya mabadiliko yanapokuja huwezi kuyazuia hata ukitumia bunduki na risasi mabadiliko yatakuja tuu. na sasa hata mafisadi watajikuta wakiyaunga mabadiliko hata kama hawayapendi.
pM asipoteze muda wake kuhoji imekuwaje DR akapata kipindi kutokwa kwa RA ila ujumbe wa Dr ameuelewa? hii ni kwasababu ya mabadiliko yanapokuja huwezi kuyazuia hata ukitumia bunduki na risasi mabadiliko yatakuja tuu. na sasa hata mafisadi watajikuta wakiyaunga mabadiliko hata kama hawayapendi.
Wakuu naomba mpigie mstari maneno yangu,Dr.W.Slaa ni aina ya kiongozi ambaye tanzania na Afrika wamebaki wachache au hakuna na hata wakongwe wa siasa wanajua hilo.huyu mzee ni almasi ambayo kama nyerere alivyosema tunadanganywa na kupewa feki ndivyo ccm wanavyojaribu kufanya ili hali na ukweli wa uwezo wa kiuongozi alionao slaa wanaujua na kuogopa sana.Dr amejitoa haswa na hata ukimwangalia yanatoka moyoni.Dr.Slaa mm binafsi nitasimama na wewe daima ili dhamira yako ya kuikomboa nchi hii itimie.wacha waseme yote lakini nani kama wewe Tanzania ya sasa? Natamani Nyerere angekuwepo kipindi hiki maana angeungana na wewe kwenye ukombozi wa pili wa Taifa hili.Mkuu Dr. Slaa anaeleza falsafa ya CDM kuwa inatokana na ibara ya 8 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano. Jamaa anayeongoza kipindi anachanganya mambo lakini DR. anamrudisha mstarini. Slaa yuko na Arcado Ntagazwa.
kilaKimsingi ch kumi ilikuwa inamilikiwa na yule jamaa muitalia-mtz aitwa Tramaton kama sikosei RA alikuwa ni sehemu ya wanahisa tu! Sina uhakika kama RA anamiliki asilimia mia
Asante mao. lakini kama huyu Makwaia wa Kuhenga hakuomba ruhusa kwa RA sijui itakuwaje? Wameahidi kuendelea na mada ya jinsi ya kuwakabili wawekezaji wanyonyaji kama wale wa madini. I promise niaifuatilia hii nieleze kitakachoendelea.