Banana War imeelezwa na DR. Slaa akionesha jinsi mataifa ya EU na US yanavyoweza kukufanyizia na kukutishia uchumi wako usipokuwa imara kama US ilivyowafanyia EU countries baada ya hizo nchi kuzuia ku-import ndizi.
Main Causes of the Banana War
European countries limited the imports of bananas
Companies complained to the World Trade Organization (WTO)
The United States responded by imposing a stiff tariff on European goods shipped to the United States
Overall cause is due to the European Union�s (EU) failure to amend to America�s satisfaction on their banana-import rules
Mwenye nafasi aangalie TBC1 Mukama anasema yeye atawanyima sera wapinzani. Anasisitiza kuwa anapenda aitwe "Wilson Mukama - Katibu mkuu wa CCM" na sio " Katibu Mkuu wa ccm - Wilson Mukama" ina maana tofauti
kinachowashangaza wengi hapa ni ufisadi, wapo wazuri wengi, ila fedha za dhuluma zinapumbaza akili, sio kwamba hawajui ukweli, au hawajui uchumi. Tatizo kubwa ni hali ya kutetea uovu inafanya hata credibility na credintial zako zote kupotea.
Dr Slaa kaamua kutumia elimu yake na uzoefu kusaidia wananchi kutoka moyoni, na watu kama hawa duniani hubakia kwenye mioyo ya watu, huwezi kupambana nao, ni kawaida kuchukiwa kubezwa na kutengwa na wakubwa, ila siku zote wanashinda. kuna ahaja ya kujenga kizazi kinachokubali kuishi kwa kufanya kazi na kushangilia ubunifu, taaluma na uadilifu badala ya sasa mwizi ni shujaa na fisadi ni mjanja.
hongera Dr. Slaa kuwa mfano; wasomi wengi, wanatupa elimu na utu wao kwa rushwa na madaraka mabovu, hakika tutakuenzi milele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.