Dr. W. Slaa kwenye Channel 10; Pongezi zake!

Banana War imeelezwa na DR. Slaa akionesha jinsi mataifa ya EU na US yanavyoweza kukufanyizia na kukutishia uchumi wako usipokuwa imara kama US ilivyowafanyia EU countries baada ya hizo nchi kuzuia ku-import ndizi.


Main Causes of the Banana War
    • European countries limited the imports of bananas
    • Companies complained to the World Trade Organization (WTO)
    • The United States responded by imposing a stiff tariff on European goods shipped to the United States
    • Overall cause is due to the European Union�s (EU) failure to amend to America�s satisfaction on their banana-import rules
 
ANGALIA ITV ...UONE MBIVU NA MBICHI.... kweli ana dhamira ya dhati sasa.... SAA YA UKOMBOZI NI SASA
 
Mwenye nafasi aangalie TBC1 Mukama anasema yeye atawanyima sera wapinzani. Anasisitiza kuwa anapenda aitwe "Wilson Mukama - Katibu mkuu wa CCM" na sio " Katibu Mkuu wa ccm - Wilson Mukama" ina maana tofauti
 
kinachowashangaza wengi hapa ni ufisadi, wapo wazuri wengi, ila fedha za dhuluma zinapumbaza akili, sio kwamba hawajui ukweli, au hawajui uchumi. Tatizo kubwa ni hali ya kutetea uovu inafanya hata credibility na credintial zako zote kupotea.

Dr Slaa kaamua kutumia elimu yake na uzoefu kusaidia wananchi kutoka moyoni, na watu kama hawa duniani hubakia kwenye mioyo ya watu, huwezi kupambana nao, ni kawaida kuchukiwa kubezwa na kutengwa na wakubwa, ila siku zote wanashinda. kuna ahaja ya kujenga kizazi kinachokubali kuishi kwa kufanya kazi na kushangilia ubunifu, taaluma na uadilifu badala ya sasa mwizi ni shujaa na fisadi ni mjanja.

hongera Dr. Slaa kuwa mfano; wasomi wengi, wanatupa elimu na utu wao kwa rushwa na madaraka mabovu, hakika tutakuenzi milele.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom