Dr. Usicheke tafadhali!!

Dr. Usicheke tafadhali!!

Kisoda2

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2008
Posts
2,475
Reaction score
747
Jamaa bonge la mtu kaingia kwa dokta.

Jamaa: Dr. nina tatizo huku sirini.
Dr: Hebu vua nguo tuone.
Jamaa: Poa navua ila plz usicheke, narudia usicheke.
Dr: Ucjali hii ndo kazi yangu siwezi kucheka mgonjwa.
Jamaa akavua suruali, Dr. kuona tu, maadili yakamshinda akaanza kucheka mbaya kama dakika 5 hadi machozi!! Kwani kabolo ka jamaa kalikua kadogo kama BETERY ya remote! Alipomaliza kucheka akamuuliza, haya tatizo nini?
Jamaa:Imevimba tokea juzi!!
Dr: Akazimia.
:faint::faint::faint::faint::faint:
 
Hahahahaha hahahah tobaaa haya bana nimecheka sana

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Aliileta Bujibuji hapa miezi mitatu iliyopita
 
Last edited by a moderator:
Nimecheka sana nimewambia na ndugu zangu mbavu hawana! Sikuwahi kuona km umecopy; please don't try this at JF home or at school.Stay safe(wwe)
 
huyo atakuwa Doc african/arab....sidhani kama wa marekani angecheka.

LOL
 
Hii ni kali aisee, nimecheka ofisini mpaka wafanyakazi wenzangu wamenishangaa. Tatizo natumia katelephone otherwise ungekoma na likes zangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom