Hofu yangu, baada ya Dr. Ulimboka kupigwa, kulikuwa na uzi uliwekwa hapa jukwaani kuwa mmojawapo wa waliohusika katika kumtesa, alikuwa ni jamaa wa TISS na mmojawao alitoroshwa kwenda Afrika Kusini ambapo atapangiwa kazi maalum. Sasa leo Dr. Ulimboka anapelekwa huko tena si ndo wanarahisisha namna ya kummaliza haraka. Kwani aliyependekeza kuwa Dr. Ulimboka apelekwe SA ni nani? serikali au madaktari wenyewe, hapo sina ujuzi wowote. Lakini ni hofu yangu tuu.