DR.ULIMBOKA aachwe...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Dr. Ulimboka hakulazwa kwakuwa ameanguka kwa presha alipokuwa Bungeni,Hotelini au kwenye Kikao cha Mawaziri.Amelazwa kufuatia mateso makali aliyoyapata kutoka kwa watu 'wasiojulikana'.Bado ana maumivu makali mwilini mwake.Anahitaji muda wa kutulia na kupokea matibabu ipasavyo kuokoa viungo na maisha yake.Kwenye chumba alimolazwa,yawapasa Madaktari tu wamshughulikie mwenzao na kiongozi wao.

Si vyema kumtembeleatembelea Dr.Ulimboka kana kwamba watu wanakwenda kwenye Maonyesho ya SabaSaba.Zipo sura zikionwa na Mgonjwa zinamtisha.Nyingine zinamhuzunisha.Zipo zinazomkasirisha.Kutishwa,kuhu zunishwa na kukasirishwa kwa mgonjwa mara kwa mara kuna maana kubwa.Kunaathiri matibabu yake.

Dr.Ulimboka aachwe apokee matibabu.Kwa hali aliyonayo,anahitaji faragha labda tu na familia yake.Dr.Ulimboka havutii machoni kwa sasa.Anasikitisha na kuhitaji maombi ya watanzania wote.Yeye si kiumbe adimu ambacho kinahitaji kuangaliwaangaliwa.Aachwe apate matibabu.Watu wasijitafutie umaarufu kwa kupitia mateso yake makuu.Apone.Na mwishio mwishoni aseme neno moja tu...
 
Good idea vuta nikuvute, mpaka kuongea hayo maneno umevaa soksi za Dr. Ulimboka ukaona haya. Asante na watanzania tufuate ushauri huu.
 
Dr. Ulimboka hakulazwa kwakuwa ameanguka kwa presha alipokuwa Bungeni,Hotelini au kwenye Kikao cha Mawaziri.Amelazwa kufuatia mateso makali aliyoyapata kutoka kwa watu 'wasiojulikana'.Bado ana maumivu makali mwilini mwake.Anahitaji muda wa kutulia na kupokea matibabu ipasavyo kuokoa viungo na maisha yake.Kwenye chumba alimolazwa,yawapasa Madaktari tu wamshughulikie mwenzao na kiongozi wao.

Si vyema kumtembeleatembelea Dr.Ulimboka kana kwamba watu wanakwenda kwenye Maonyesho ya SabaSaba.Zipo sura zikionwa na Mgonjwa zinamtisha.Nyingine zinamhuzunisha.Zipo zinazomkasirisha.Kutishwa,kuhu zunishwa na kukasirishwa kwa mgonjwa mara kwa mara kuna maana kubwa.Kunaathiri matibabu yake.

Dr.Ulimboka aachwe apokee matibabu.Kwa hali aliyonayo,anahitaji faragha labda tu na familia yake.Dr.Ulimboka havutii machoni kwa sasa.Anasikitisha na kuhitaji maombi ya watanzania wote.Yeye si kiumbe adimu ambacho kinahitaji kuangaliwaangaliwa.Aachwe apate matibabu.Watu wasijitafutie umaarufu kwa kupitia mateso yake makuu.Apone.Na mwishio mwishoni aseme neno moja tu...

Umenena, walio karibu nae zaidi wasimamie matibabu na usalama wake kwa karibu sana na sisi wengine tuendelee kumuombea mwenyezi Mungu amrejeshee afya yake haraka iwezekanavyo. Tuheshimu privacy ya Dr. Ulli na maoni ya wataalamu wa tiba ili dakitari wetu apone haraka. Asante sana Vuta.
 
Umenena, walio karibu nae zaidi wasimamie matibabu na usalama wake kwa karibu sana na sisi wengine tuendelee kumuombea mwenyezi Mungu amrejeshee afya yake haraka iwezekanavyo. Tuheshimu privacy ya Dr. Ulli na maoni ya wataalamu wa tiba ili dakitari wetu apone haraka. Asante sana Vuta.
Asante Mkuu...
 
ushauri mzuri mkuu, hakika ni ushauri unaofaa.watanzania kila mtu kwa imani yake tumuombee dr.ulimboka. Amefanyiwa kitu cha kinyama.hakika mungu atampigania. Ee Mungu wafichue hawa watu,waaibishe milele,wewe Mungu waweza.amen
 
Dr. Ulimboka hakulazwa kwakuwa ameanguka kwa presha alipokuwa Bungeni,Hotelini au kwenye Kikao cha Mawaziri.Amelazwa kufuatia mateso makali aliyoyapata kutoka kwa watu 'wasiojulikana'.Bado ana maumivu makali mwilini mwake.Anahitaji muda wa kutulia na kupokea matibabu ipasavyo kuokoa viungo na maisha yake.Kwenye chumba alimolazwa,yawapasa Madaktari tu wamshughulikie mwenzao na kiongozi wao.

Si vyema kumtembeleatembelea Dr.Ulimboka kana kwamba watu wanakwenda kwenye Maonyesho ya SabaSaba.Zipo sura zikionwa na Mgonjwa zinamtisha.Nyingine zinamhuzunisha.Zipo zinazomkasirisha.Kutishwa,kuhu zunishwa na kukasirishwa kwa mgonjwa mara kwa mara kuna maana kubwa.Kunaathiri matibabu yake.

Dr.Ulimboka aachwe apokee matibabu.Kwa hali aliyonayo,anahitaji faragha labda tu na familia yake.Dr.Ulimboka havutii machoni kwa sasa.Anasikitisha na kuhitaji maombi ya watanzania wote.Yeye si kiumbe adimu ambacho kinahitaji kuangaliwaangaliwa.Aachwe apate matibabu.Watu wasijitafutie umaarufu kwa kupitia mateso yake makuu.Apone.Na mwishio mwishoni aseme neno moja tu...
naunga hoja mkono, hajawa kaka kuona yule
 
ushauri mzuri mkuu, hakika ni ushauri unaofaa.watanzania kila mtu kwa imani yake tumuombee dr.ulimboka. Amefanyiwa kitu cha kinyama.hakika mungu atampigania. Ee Mungu wafichue hawa watu,waaibishe milele,wewe Mungu waweza.amen

Ni usalaama wa taifa si lazima tusubiri mungu awaadhibu kinachotakiwa ni kufanya maandalizi ya kupiga kura ipasavyo huko kila mtu ana nafasi ya kutoa adhabu
 
Dr. Ulimboka hakulazwa kwakuwa ameanguka kwa presha alipokuwa Bungeni,Hotelini au kwenye Kikao cha Mawaziri.Amelazwa kufuatia mateso makali aliyoyapata kutoka kwa watu 'wasiojulikana'.Bado ana maumivu makali mwilini mwake.Anahitaji muda wa kutulia na kupokea matibabu ipasavyo kuokoa viungo na maisha yake.Kwenye chumba alimolazwa,yawapasa Madaktari tu wamshughulikie mwenzao na kiongozi wao.

Si vyema kumtembeleatembelea Dr.Ulimboka kana kwamba watu wanakwenda kwenye Maonyesho ya SabaSaba.Zipo sura zikionwa na Mgonjwa zinamtisha.Nyingine zinamhuzunisha.Zipo zinazomkasirisha.Kutishwa,kuhu zunishwa na kukasirishwa kwa mgonjwa mara kwa mara kuna maana kubwa.Kunaathiri matibabu yake.

Dr.Ulimboka aachwe apokee matibabu.Kwa hali aliyonayo,anahitaji faragha labda tu na familia yake.Dr.Ulimboka havutii machoni kwa sasa.Anasikitisha na kuhitaji maombi ya watanzania wote.Yeye si kiumbe adimu ambacho kinahitaji kuangaliwaangaliwa.Aachwe apate matibabu.Watu wasijitafutie umaarufu kwa kupitia mateso yake makuu.Apone.Na mwishio mwishoni aseme neno moja tu...

..
Hapana @vuta nikuvute.. Dr Ulimboka ana Hoja ya kitaifa zaidi kuliko familia yake .. Analazimika Kwa ahueni kiduchu aliyonayo inatosha kuendelea kuongea kila akijuacho kuhusu sakata lake.. Hii ni Kwa usalama wake zaidi..
Akiachwa hata siku moja pasipo kutembelewa na kutakiwa Hali, itatoa mwanya Kwa Hao 'wasiojulikana' wakamtenda 'kisichojulikana'..
 
Inahitajika mil 90 kwa ajili ya kumpeleka India kwani madaktari wamejaribu kusafisa figo zake ila bado anahitaji matibabu zaidi hivyo madaktari wamejichangisha mil 40 lets help our hero in health services
sorce: taarifa ya habari ya saa mbili usiku ITV
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom